Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,106
- 173,890
NakubaliMtaka cha uvunguni shart ainame😀😀
NakubaliMtaka cha uvunguni shart ainame😀😀
Alie mfata mwenzake nani kwanzaa😀😀😀Hahahahah sasa inachosha huwezi piga tu mwenyewe deile. Lazma utamani kupigiwa halafu mtu simu hapigi! Inaboa sana.
Baharia 2020 Julai miezi miwili na nusu kuelekea uchaguzi.Jamaa bwege wa mapenzi.. ni teenager wa hiyo idara.. mwanaume sasa hivi kulia lia hutafutwi ni ushamba.. kama roho inamuuma akomae tu kupiga, kuna wanaeake usipo mjua utaumia.. wapo wasio penda kabisa simu.. mie nilikuwa nammoja wa hivyo.. hajali kabisa mambo ya simu.. wakati mwingine anaacha hata inazima wiki.. kama huyo ukiwnza waza utafutwi si utaumia bure. Tu..😀😀😀 kama mtu hakupigii mpigie kukata mzizi wa fitna
Mie huyo nilijibiwa nafikiri kila mtu apumzike kwa miezi nane kwanza ..simu simu...simu za nini.Tena ilikuwa sms hizo.Kumpigia cm demu Mara Mara ni kujichoresha tu
Akikaa kmy we Fanya kama umempoteza kuna siku atarudi na adabu na atapiga yeye
Usimpogie hata ukipgiwa usiongee ukazid dk 5 ili asikusome sana
Chumvi Chumvi 😀😁😂😅😄UBAYA UBAYA
Hapo SasaKwani wanawake wameisha
Ukiona hivyo ujue wewe ni mpenzi wa akiba kwakeKuna nada inazungunzwa radioni mapenzi ya upande mmoja ambao unangaika na upande mwingine
Ambapo kuna wakati katika mahusiano wewe na mpenzi wako mnafikia kipindi hakutafuti mpaka umtafute wewe na hata usipomtafuta halalamiki.
Unaweza kupiga kimya siku tatu au mbili kumpima Kama atakutafuta unashanga yupo kimya
Hali Kama hii unawezaje kuhandle au kudeal nayoo ukiangalia hii Hali Kama inakuumiza
Dem anataka mwanaume kiongozi Yan jisimamie mfanye yeye akupgie akutafute sio kinyume chake ukifanya tofauti utahangaika na hawa viumbeMie huyo nilijibiwa nafikiri kila mtu apumzike kwa miezi nane kwanza ..simu simu...simu za nini.Tena ilikuwa sms hizo.
Hahahahahaha Dear God ...niliapply ushauri kama ulivyotumwa.Toka 2017 mpaka leo...
Na nilivyomeza sauti hata ikipigwa namba ngeni...chaap simu inakatwa.
Maana nimempata anayejua kupiga simu na kupokea simu na familia bora kabisa.
Haahaa!Huyo ndo safi sasa, yanini kuulizana kila wakat kama umekula au umelala..
Hapo unasubir siku una nganga zako unamtafuta then unaenda kumsukumia mguu wa mtoto alafu unapiga kimya mpk hamu ikija tena
Hahahaha broo uko viZuliInakera sana iyo tabia jaman, mapenzi ni two way traffic sasa inapokua upande mmoja ndo upo active zaidi inakatisha tamaa alafu kiuhalisia amna mapenzi apo! Mawasiliano ni kitu cha msingi sana katika mahusiano.
Fikiria mbinu yakijeshi, ajiingize mkenge akija kushtuka aombe ushauri kwa wachungajiInakera sana iyo tabia jaman, mapenzi ni two way traffic sasa inapokua upande mmoja ndo upo active zaidi inakatisha tamaa alafu kiuhalisia amna mapenzi apo! Mawasiliano ni kitu cha msingi sana katika mahusiano.