Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,733
- 10,928
Vp kama ni mkeo wa ndoa 5+ years na mmezaa watoto?Hakuna upendo hapo, unafosi tu mapenzi hapo
Vp kama ni mkeo wa ndoa 5+ years na mmezaa watoto?Hakuna upendo hapo, unafosi tu mapenzi hapo
What if ni mkeo wa ndoa?sio mama yako uyo, achana nae
kwani mapenzi ni nini mfano cc wanaume.tunaweza kuekiti kwa kukupigia kila cku na pesa tutakupa lkn wala hupendwi wengine tunajiwekea nichape mara kathaa kisha niingie mitinHakuna mapenzi hapo
Mimi nilijuaga baby kunipigia kila siku na kunipa pesa ndiyo ananipenda ivyo...lahaulaah!! Kumbe yaweza kuwa maigizo eeh... ahsantekwani mapenzi ni nini mfano cc wanaume.tunaweza kuekiti kwa kukupigia kila cku na pesa tutakupa lkn wala hupendwi wengine tunajiwekea nichape mara kathaa kisha niingie mitin
Awe wa ndoa au ndoano anapigwa chini tu,What if ni mkeo wa ndoa?
Vipi mzigo anatoa? , kama nikimwita analeta, fresh tu.Kuna nada inazungunzwa radioni mapenzi ya upande mmoja ambao unangaika na upande mwingine
Ambapo kuna wakati katika mahusiano wewe na mpenzi wako mnafikia kipindi hakutafuti mpaka umtafute wewe na hata usipomtafuta halalamiki.
Unaweza kupiga kimya siku tatu au mbili kumpima Kama atakutafuta unashanga yupo kimya
Hali Kama hii unawezaje kuhandle au kudeal nayoo ukiangalia hii Hali Kama inakuumiza
Kwani kuwasiliana ni lazima mkuu.. kila mtu na simu yake na matumizi ya simu yake. Ebu nipe kipengele kinacho force mawasilianoHali hii unaweza kui handle kwa kutafta mwanamke anayekupenda. Bila hivyo utapata taab sanaa!
Upotevu wa mda na pesa na bundleDeal na Marafiki Zake Tuu.
We hujapenda mangi! Ukipenda utaelewa anacholalamikia jamaa.Kwani kuwasiliana ni lazima mkuu.. kila mtu na simu yake na matumizi ya simu yake. Ebu nipe kipengele kinacho force mawasiliano
Jamaa bwege wa mapenzi.. ni teenager wa hiyo idara.. mwanaume sasa hivi kulia lia hutafutwi ni ushamba.. kama roho inamuuma akomae tu kupiga, kuna wanaeake usipo mjua utaumia.. wapo wasio penda kabisa simu.. mie nilikuwa nammoja wa hivyo.. hajali kabisa mambo ya simu.. wakati mwingine anaacha hata inazima wiki.. kama huyo ukiwnza waza utafutwi si utaumia bure. Tu..😀😀😀 kama mtu hakupigii mpigie kukata mzizi wa fitnaWe hujapenda mangi! Ukipenda utaelewa anacholalamikia jamaa.
Mtaka cha uvunguni shart ainame😀😀We hujapenda mangi! Ukipenda utaelewa anacholalamikia jamaa.
Hahahahah sasa inachosha huwezi piga tu mwenyewe deile. Lazma utamani kupigiwa halafu mtu simu hapigi! Inaboa sana.Jamaa bwege wa mapenzi.. ni teenager wa hiyo idara.. mwanaume sasa hivi kulia lia hutafutwi ni ushamba.. kama roho inamuuma akomae tu kupiga, kuna wanaeake usipo mjua utaumia.. wapo wasio penda kabisa simu.. mie nilikuwa nammoja wa hivyo.. hajali kabisa mambo ya simu.. wakati mwingine anaacha hata inazima wiki.. kama huyo ukiwnza waza utafutwi si utaumia bure. Tu..😀😀😀 kama mtu hakupigii mpigie kukata mzizi wa fitna