Bila shuka
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 596
- 294
Shkamooo Julius Mtatiroooooooo
Pole pole katumwa bwana
wafuata upepo hamtaki kuambiwa ukwel ndomana mnajifanya mnakimbilia kisingzio cha mpira...
polepole anashangaza sana km Pinda ndie aliwajibishwa ila hakuwajibika..hata alipohitajika..Lowasa alifanya hivyo..Na km hoja ya huyu dogo kwamba Msimamizi wao ndie anatakiwa kuwajibika kwanini anajifanya hajaona KWAMBA KTK RICHMOND RAIS NDIE ALITAKIWA WAJIBIKA KM ALIVYOSEMA LOWASA KWAMBA AMRI ILITOKA JUU?Polepole amndandia Pinda..
Hukusikia utangulizi ungejua kwanini leo alikua polepole tena.Hivi channel 10 hawana wachambuzi wengine kila cku pole pole tuuu?? Eeh inachosha bhana tunataka mawazo mengine mapya