Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

hakuna kada yeyote wa ccm ambae anaamini kuwa bila ya kujipendekeza anaweza kufanikiwa ndo maana 2namwona magufuli alivyokuwa anajipendekeza na kumsifia mwenyekt mpaka mwenyekt anaona aibu kwa misifa anayopewa same to makada wote wa ccm incd polepole huyu anaamini kuwa kumponda lowassa anaweza akapata cheo kama walivyo pata NAPE na MAKONDA hata lowassa mwenyewe aliwah kusema wanaomtukana wanapewa vyeo tena vkubwa bt polepole ameshindwa kucheza na number amesahau ccm mwisho ni oct 25 kuanzia oct 30 2takuwa na utawala wngne fanya 2 uchunguz mtu anayejipendekeza kwa maboss hata kazn ukimchunguza utakuta elimu yake kunauwezekano ikawa ya magumashi au kaz ile kapata kwa mtindo wa viti maalum
 
Aaargh! Huyu Polepole tumemkinai apumzike kidogo
 
Siku ile alishindwa na msigwa! si bora atafutwe mwingine tu, manake ameisha ishiwa hoja wamuweke hata makonda au nape, kibajaji au ndio chama kimeishiwa watu wa wakukisemea!
 
Safi sana coz msigwa alipwaya sana cku ile maana aliambiwa ukweli,:nadhani hata Mtatiro atakutana na hilo

Mtatiro hana uwezo wa ku-argue na Pole Pole labda wasiwe na mıtazamo inayotofautiana vıngnevyo Mtatiro ataonekana hajamaliza hata form 4.Saiz ya Pole Pole labda Jusa au Zito, wengne wanaweza rusha hata ngumi.
 
Safi sana coz msigwa alipwaya sana cku ile maana aliambiwa ukweli,:nadhani hata Mtatiro atakutana na hilo

Mtatiro kesha katwa maini, siasa za mtatiro miaka yote huwa ni kupinga ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka,, leo anaweza kweli kukemea hili?
 
Polepole ana force umaarufu,Ni mtu wakujipendekeza sana.

Pole anatafutwa sana kwenye ishuzi za mijadala.Ni kıjana anayeweza simama popote dunianı akajenga hoja ya kueleweka.Wenye akili wote wanapenda kumsıkiliza.
 
Leo channel 10 Ni zamu ya Mtatiro na polepole don't miss saa 4 kamili usiku.

Tuone Polepole anavyoangukia pua kwa mara ya pili baada ya Msigwa kumpiga knock out.

watakuwa wamesha kata umeme, leo kwetu mchana hawajakata
 
Leo channel 10 Ni zamu ya Mtatiro na polepole don't miss saa 4 kamili usiku.

Tuone Polepole anavyoangukia pua kwa mara ya pili baada ya Msigwa kumpiga knock out.

Jua basi msigwa alimshindwa huyo. Na mtatiro atafeli tu. Hapo labda aje Fundi TUNDU LISU
 
kwa mara nyingine polepole baada ya kumpiga tatu bila Msigwa sasa atakuwa uwanjani na mtatiro, duh ila game la leo ni noma sijui km mtatiro atapona kweli, lkn nimegunduwa watu wa jf wengi wanashabikia kwa hisia mkumbuke game lililopita msigwa aligaragazwa vibaya sana mpaka akaanza kumsema polepole mambo yake ya personal,badala ya kusimamia mada iliyokuwa wanaijadili, kiukweli game la leo tamuuu,
jamaaa wote nawakubali Mtatiro pamoja na Polepole,
jambo la msingi tupime hoja tuache ushabiki wa vyama.:mod:
 
Leo channel 10 Ni zamu ya Mtatiro na polepole don't miss saa 4 kamili usiku.

Tuone Polepole anavyoangukia pua kwa mara ya pili baada ya Msigwa kumpiga knock out.

Ww rafiki yangu kati ya polepole na msigwa nani alichemka cku ile au ulisimuliwa hukufatilia ww haonu kuwa mnambadilishia mtu sbb nn si mlichemka mbo a ccm hawa kumbadili ni yuleyule
 
Ww rafiki yangu kati ya polepole na msigwa nani alichemka cku ile au ulisimuliwa hukufatilia ww haonu kuwa mnambadilishia mtu sbb nn si mlichemka mbo a ccm hawa kumbadili ni yuleyule
Sababu CCM hawana mengine wote ni mavuvuzela tu. Ndo maana wameamua kukikamua haka kazee mpaka katoke damu! Si Kanataka hela?!
 
Leo channel 10 Ni zamu ya Mtatiro na polepole don't miss saa 4 kamili usiku.

Tuone Polepole anavyoangukia pua kwa mara ya pili baada ya Msigwa kumpiga knock out.

Polepole hana jipya kwa maana juzi akiwa chanel 10 alimwambia Msigwa kuwa ccm wakiwarudisha wahusika wa Escrow kwenye kugombea majimboni mwao yeye atahamia Ukawa Sasa akiwa chanel 10 atangaze rasmi kuwa amejiondoa ccm na kuanza maisha mapya nje ya ccm
 
Back
Top Bottom