Mkuu ungesoma kwanza ulichoandika kabla ya kupost. Mbona umekichafua chama chako hivyo? Unasema Lowassa angebaki CCM wangembebabeba na kumfichia maovu? Seriously!!?
Tumemtupa pembeni hatufai urais wa inchi hii sbb ya ufisadi ss tutampaje inchi ila kwa sbb amewanunua ukawa tunataka tumuabishe muda c mrefu kupitia huko ukawa kwamba tulimkata sbb ni ufisadi angekuwa msafi mbona dr slaa na lipumba wameona aibu wakakimbia huko