Sababu CCM hawana mengine wote ni mavuvuzela tu. Ndo maana wameamua kukikamua haka kazee mpaka katoke damu! Si Kanataka hela?!
kwa mara nyingine polepole baada ya kumpiga tatu bila Msigwa sasa atakuwa uwanjani na mtatiro, duh ila game la leo ni noma sijui km mtatiro atapona kweli, lkn nimegunduwa watu wa jf wengi wanashabikia kwa hisia mkumbuke game lililopita msigwa aligaragazwa vibaya sana mpaka akaanza kumsema polepole mambo yake ya personal,badala ya kusimamia mada iliyokuwa wanaijadili, kiukweli game la leo tamuuu,
jamaaa wote nawakubali Mtatiro pamoja na Polepole,
jambo la msingi tupime hoja tuache ushabiki wa vyama.:mod:
Msigwa aliwatia aibu sana wachungaji. Hivi ana elimu gani? Kama ni la saba sawa.
muda tafadhari......
Wew ndo umekurupuka kusoma kaandka sa nne au huon?
Kwa hoj Msigwa alipwaya sana tuache ushabiki wa vyama. Kama kawaida yake akaanza kumuatack dogo kwa vishutuma vya kipuuzi visivyo na uhakika. dogo alikua anamtolea mifano msigwa anajibu mifano badala ya hoja. Ngoja tumuone leo Mtatiro Msigwa sio saizi kabisa ya pole pole alipwaya sana
Sikubalini na hoja za Polepole ila Msigwa alikua na hoja dhaifu wakati anamjibu Polepole, ikawa ni personal attackLeo channel 10 Ni zamu ya Mtatiro na polepole don't miss saa 4 kamili usiku.
Tuone Polepole anavyoangukia pua kwa mara ya pili baada ya Msigwa kumpiga knock out.
Jina lenyewe POLEPOLE ila uelewa wake na akili ya huyu jamaa anaijua mwenyewe.Hana hoja ana bwa bwa ja tu,sijui amekula maharage ya wap huyu....