Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Uchaguzi huu watz wanaangalia atayeweza kuwasaidia kuwaletea maendeleo they dont care about records

H PP anadai tusiendeshwe na hisia anayoyaongea ni more theoretical than practical
 
​Ukiangalia kwa makini macho ya Polepole unaona kabisa ni mnafiki
 
ila sasa naona mnampa polepole umaarufu mana itaonekana msigwa kashindwa hasa mtatiro ndoo kiboko yake
 
Jamani mbona mnasahau standard formular ya kupata cheo ni kusaidia kupiga ama kubomoa upande fulani hasa usiokuwa kwenye power
 
Asanteni kwa kuninyoshea pilipili humphrey maana leo kawa mstaarabu.Lakini naona anakaribia kuharibu mada..
 
Naomba tupige simu tumkumbushe kuhusu kina tibaijuka,chenge na maige..
 

Attachments

  • 1439580728120.jpg
    1439580728120.jpg
    64.1 KB · Views: 325
Yaani jamaa anaongea utadhani ana mkataba na watz anadhani anachosema ndo watz wanakifata wangekua wanamfuatilia ama kufata anachosema basi wasingekuwa wanamfuatilia EL wala kujiandamanisha

anajichetua na kujipa moyo tu
 
Leo channel 10 Ni zamu ya Mtatiro na polepole don't miss saa 4 kamili usiku.

Tuone Polepole anavyoangukia pua kwa mara ya pili baada ya Msigwa kumpiga knock out.

Ona aibu na huo ushabiki wa kijinga. Polepole anaongelea wagombea uchaguzi, msigwa anaongelea maisha ya Polepole
 
Back
Top Bottom