Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Wiki hii ndani ya mada moto BUSHMAN aliahidi kujivua uanachama endapo watuhumiwa wa ufisadi watapitishwa...
 
Ivi we polepole nani kakwambia sisi tunataka mtu msafi kwa sasa? sisi tunataka mtu wa kuiangusha ccm tu kwa sasa hayo mengine baadaye we huelewi ? je hata kuona huoni? soma alama za nyakati dogo
 
Kama hamwezi kumshtaki si alishawaambia fungeni midomo yenu mkae kimya?! Sasa mnalialia nini wakati mnamwogopa. Halafu wewe nani kakumbia kuna mtu aliye juu ya sheria? Lowassa hakuna kiongozi wa juu sana serikalini kama unavyoamini wewe. Kuwa kiongozi wa juu sana maana yake hata raisi alikuwa chini yake? Hueleweki mkuu!!

Kma cjaeleweka mkuu pouwa ila kubali kwanza kumpokea El na kumpa nafasi ya kuwa mgombea wenu daha mmekosea sna yaani sera yenu itakuwa ni kuwajibu wananchi kwann lowasa mlisema fisadi leo kawa msafi wakati ccm ikipeta kwa kumtangaza magufuli kiulaulini sana tu
 
ninafikiri polepole anatakiwa aje hapa ajisafishe, atuelewe kuwa ni kweli aliiba laki sita akafukuzwa kwenye ngo yao ya mzngu au la. aje hapa ajitakase na yeye kabla hajaanza kuwaambia wengine. manake msigwa alimwuliz aswali kwanini aliiba laki sita za mzungu akafukuzwa swali, jamaa akashindwa kujitetea mbele ta tiiiviiii (tv), halafu, ashukuru Mungu kodi zetu sisi watz zilimlipia kwenye bunge la katiba, akatoka kwenye maisha kama mbwa koko mtaani hana hata senti akapaba mamilioni na umaarufu juu. kama amenunuliwa aachane na siasa aende tu akale hizo hela alale, sisi wenzie ambao hatukupata hizo hela tunahitaji tanzania njema itakayotupatia fursa ili tupate hela, yeye kama ameshiba kodi zetu (tulizomlipia mshahara kwenye bunge la katiba), asitudharau sana. hakuna mtu ananikera kama yule dogo tangu alipokuwa bunge la katiba alipokuwa anaponda serikali, nilikuwa napokea tu maneno yake lakini moyoni nilikua nahisi huyo dogo ni adui, si mtu mzuri kabisa.
 
Alisema kwamba kama ccm au chama CHOCHOTE cha siasa nchini kikisimamisha mgombea wa urasi mwenye madoa madoa, mla rushwa au fisadi atazunguka nchi nzima kumpinga...

#polepole ni kijana makini sana
 
Chenga naye ndani.Lakini polipoli alitamka juu ya watu kukatwa then wakapululiwa wote na kubaki mbuzi ndani gunia na kauli ikaki-cost chama.Juzijuzi Pilipili akajicommit kwa kukiomba chama chake kiwafute wale woote wenye tuhuma vinginevyo atajivua Gamba na kuwakataa hadharani.Leo majibu palepale channel 10.
 
Polepole najua hata Mtatiro utamdunda tu. Mtatiro huwa hatumii logic zaidi ya kutumia manguvu na ubabe wa kikurya.
 
Kma cjaeleweka mkuu pouwa ila kubali kwanza kumpokea El na kumpa nafasi ya kuwa mgombea wenu daha mmekosea sna yaani sera yenu itakuwa ni kuwajibu wananchi kwann lowasa mlisema fisadi leo kawa msafi wakati ccm ikipeta kwa kumtangaza magufuli kiulaulini sana tu

Hatuna haja ya kuwajibu wananchi. Mafuriko ya wananchi walioandamana Dar majuzi wkt EL anachukua fomu NEC, na leo Mbeya ni ushahidi tosha kuwa hiyo si kazi yetu. Kampeni zikianza tu tunaanza kumwaga sera zetu basi. Huo ushauri ni propaganda za kipuuzi zinazotolewa na magamba. Sisi tunazipuuza tu km kawaida. Hii ndio safari ya mabadiliko
 
Baada ya CCM kutaja na kuwapitisha watuhumiwa wa ufisadi kuwa wagombea ubunge
kama Tibaijuka Chenge na Ngereja inategemea Amferd Polepole atakihama chama hicho muda sio mrefu.

hii inatokana na kauli yake aliyoitoa wakati akiitimisha mdahalo wake na msigwa..Polepole alinukuliwa akisema kama CCM itampitasha mtuhumiwa wa ufisadi ntarudisha kadi ya ccm. Polepole ni mtu anayesimamia maneno yake ngoja tuone.

Kichwa cha habari na habari iliyopo ndani ni tafauti
 
Kma cjaeleweka mkuu pouwa ila kubali kwanza kumpokea El na kumpa nafasi ya kuwa mgombea wenu daha mmekosea sna yaani sera yenu itakuwa ni kuwajibu wananchi kwann lowasa mlisema fisadi leo kawa msafi wakati ccm ikipeta kwa kumtangaza magufuli kiulaulini sana tu

Haya mkuu tuonane hapahapa JF baada ya 25/08/2015, si unajua muda hauna rafiki?!
 
uko sahihi lakini hata hivyo nafasi ya urais ni nyeti sana kuliko hizo zingine.

Baada ya CCM kutaja na kuwapitisha watuhumiwa wa ufisadi kuwa wagombea ubunge
kama Tibaijuka Chenge na Ngereja inategemea Amferd Polepole atakihama chama hicho muda sio mrefu.

hii inatokana na kauli yake aliyoitoa wakati akiitimisha mdahalo wake na msigwa..Polepole alinukuliwa akisema kama CCM itampitasha mtuhumiwa wa ufisadi ntarudisha kadi ya ccm. Polepole ni mtu anayesimamia maneno yake ngoja tuone.
 
Back
Top Bottom