Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Mtatiro kaanza kumchana polepole, haswa pale Humphrey aliposema magufuli msafi, ameulizwa mbona magufuli anakashfa ya uuzaji nyumba za serikali. Na amemweleza kuwa hakuna ufisadi mdogo wala mkubwa.
Tuendelee kujuzana
 
Mtu kama huyu anatakiwa awe mpiga tunguri,Tena inamfanania kweli!
Huyu lazima kwake anavibuyu na mairizi mengi sana
 
Anajifichia kwa walioba baada ya skendo ya makufuli kwenye nyumba zilizohongwa..Pole weeee
 
Sasa kama mnamchukia pole pole unafkiri kuna zuri atakalolisema kwenu liwe zuri c litakuwa baya tu hilo sikilizeni hoja sio kuweka ushabiki mbele.
 
Haka kadogo kameshaanza kuleta mambo ya katiba hapa.

Yani kina Warioba wasipoangalia vizuri huyu dogo anaenda kuwaaribia kazi nzuri waliokwisha kuifanya.
 
Huyu jamaa bana anajiona anajua sana nn watz wanajua na ni yeye tu anayejua wengine mafala tu opsss selfish much know
 
Polipoli anaanza kumuumiza Eddo ba kumficha magugufuli..
 
Ni rahisi ngamia akapenya kwenye tundu la sindano kuliko kumpata mgombea uongozi wa ccm asie toa rushwa hakuna kiongozi asie kuwa na doa

Yeah! Ila mmoja wao kavuka mipaka, ye kanunua chama kabisaa!
 
Polepole mwongo sana eti wazee wa tume ya kaiba waliagiza wale wote wasiotaka mabadiliko ya katiba pendekezwa wakatwe kwenye kupendekezwa kugombea urais,
Lakini hapo hapo amesahau kuwa hao hao waliowaagiza walikataa katiba pendekezwa wakatengeneza katiba yao
 
Pole pole anachofeli Ana uccm sana
Maongezi yake yanamtengenezea Magufuli na kumuaribu Lowassa
Simbirisi sana huyu...

Ha ha haaa,sio ndorobo tena NI SIMBILISI sio.
Airtel wanatisha mbaya,na jamaa kwel ni kama SIMBILISI TU maana amezd kuwa kigeugeu eti.
 
Poli anasema"watanzania wanatakiwa wachague kiongozi ambaye hajazungukwa na matajiri na wafanya biashara"
 
Back
Top Bottom