Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

humphrey Pole pole ni muongo na muoga, anajibu kwa uongo na kutojiamini, ni aibu Taifa kuwa na Vijana wa style hii
 
Last edited by a moderator:
Pole pole njaa inamsumbua mpka anatia huruma maana hasomi alama za wakati hataki kuelewa hata picha
 
Kananuka Rushwa mpaka kwenye kioo cha Tv naisikia Ovyo kabisa haka
 
Wanazungumzia nini leo labda'? Ujinga..
 
polepole amedhihirisha wazi kuwa amepewa mtonyo huyu
 
Kweli msigwa kiboko, juzi kaninyooshea huyu dogo mpaka leo heshima.

Leo huyu dogo akitaka kulitaja jina Lowasa anaona kama Msigwa yupo karibu anakuja.
 
Polepole amepotoka kujustfy rushwa kubwa na ndogo.....rushwa ni rushwa tu
 
Mtatiro anaanza na magufuli kwa issue ya kuhonga nyumba..
 
Pole pole eti anasema watoa rushwa wote wamekatwa ndani ya CCM katika ngazi zote, hivi inamaanisha hakusikia tuhuma za Mwigulu, Nape, Masaburi na wengineo wengi ambao wamepitishwa Jana? Haka kakijana ni kanafiki sana yaani kameisha choka ubongo na akajielewi kabisa.
 
Polepole anadai wagombea ubunge na udiwani wa ccm waliotuhumiwa kwa rushwa hawana makosa sana kama mgombea uraisi wa ukawa
 
mtatiro aanza kuchana cheche kwa magufuli..na polepole anajichanganya katika kuitetea ccm....polepole ogopa aibu kwa watanzania
 
Ni rahisi ngamia akapenya kwenye tundu la sindano kuliko kumpata mgombea uongozi wa ccm asie toa rushwa hakuna kiongozi asie kuwa na doa
 
Back
Top Bottom