Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

dr slaa amweza battle lakin hawa wengine wadogo sana polepole alimuomba safar lakin anaenda mwingne
 
Umeshindwa kunielewa. Wewe umesema Lowasa angebaki CCM angebebwa na kufichiwa maovu. Ni kweli ndiyo tabia ya chama chako kubeba watu na kuficha maovu yao? Jibu swali usilete porojo.

Kwasababu El alikuwa kiongoz wa juu sana wa serikali huwez kukurupuka tu na kumshtaki kwahyo kile kipindi ambacho mzee El amejiuzulu madaraka yake ya uwazir mkuu ccm ikaone imlee tu mzee wa watu cku ziishe lakin wakati huo huo ilitambua kuwa ndoto zke tena za uongoz wa juu ktk nchi hii atausikia tu katka vyombo mbalimbali mfano mzuri kumkata mapema hata top 5 hakwepo hawez kutuulia chama chetu na serikali yetu iliyopo madarakani labda serikali ya ndoto ya usingizini ya ukawa mtampa uongoz lakin c ccm mzee kapotea japo anahaki ya kwenda chama chchote
 
Hamna ufisadi nchini. Mbowe na chama chake waliishatuthibitishia hilo
 
Humphrey Polepole ni mnafiki tu anayetumika kwa kujifanya mzalendo,hana tofauti na kina Makonda na Nape Nnauye!!!
 
Last edited by a moderator:
Baada ya CCM kutaja na kuwapitisha watuhumiwa wa ufisadi kuwa wagombea ubunge
kama Tibaijuka Chenge na Ngereja inategemea Amferd Polepole atakihama chama hicho muda sio mrefu.

hii inatokana na kauli yake aliyoitoa wakati akiitimisha mdahalo wake na msigwa..Polepole alinukuliwa akisema kama CCM itampitasha mtuhumiwa wa ufisadi ntarudisha kadi ya ccm. Polepole ni mtu anayesimamia maneno yake ngoja tuone.

Pole Pole huyu juakali?
 
Baada ya CCM kutaja na kuwapitisha watuhumiwa wa ufisadi kuwa wagombea ubunge
kama Tibaijuka Chenge na Ngereja inategemea Amferd Polepole atakihama chama hicho muda sio mrefu.

hii inatokana na kauli yake aliyoitoa wakati akiitimisha mdahalo wake na msigwa..Polepole alinukuliwa akisema kama CCM itampitasha mtuhumiwa wa ufisadi ntarudisha kadi ya ccm. Polepole ni mtu anayesimamia maneno yake ngoja tuone.

Yaani hao wote uliowataja hapo ni mafisadi na kuna ushahidi wa ufisadi wao ila CCM haijawatuhumu wala kuwafunga mpaka leo,ila eti wanasema Lowasa pekee ndio fisadi. Kama Humphrey Polepole ana akili timamu na sio mchumia tumbo atatoka haraka CCM ili kulinda heshima na hadhi yake.
 
Masikini mtana shati huyu,hajifunzi historia ya mzee six,baada ya kuona amechukiwa na magamba wenzie akaamua kujikosha kupitia bunge maalum la katiba,ikamgombanisha na watanzania na viongozi wake wa dini akawa mpweke mfano wa yatima.

Sasa huyu dogo baada ya kuona amekorofishana na magamba,kwenye kutetea maoni ya katiba iliyopendekezwa,Ameamua kkujiosha
kwa kumwandama EL ambaye kwa sasa ndo habari ya mujini na vijijini,Naamini soon atakumbwa na kilichomkumba ndugu six.

Na nadhani ajiandae kwenda kufanya shughuli zake na sio kunusa kwenye medani za siasa tena.
 
Kweli siasa mchezo mchafu ukiifuatilia sana unaweza ukaumiza kichwa chako bure.
Mnamwandama polepole kisa kasema Lowasa fisadi hivi huyu lowasa angehamia chama kingine na sio vyama vya muungano wa ukawa mngemusafisha kama mnavyoganya sasa?
 
anabembeleza ubunge wa kuteuliwa bahati sana anamkashifu Rais Lowasa , kwahiyo hata huo hataupata kwa kuwa mawazo yake yanamdangabya eti magufli atashinda, labda atashinda kwa kishindwa
 
Kuna wazazi wanakosa majina ya kuwapa watt wao...eti polipoli...mjini kafuata nn...huyo ni mnafik...ktk quran alama za mtu mnafiki ni 3 huyu anazo zote....pia watu kama hawa mafarisayo msiwashangae biblia imewaeleza hawa...so hasumbui mtu mpuuuzi huyu
 
Kwasababu El alikuwa kiongoz wa juu sana wa serikali huwez kukurupuka tu na kumshtaki kwahyo kile kipindi ambacho mzee El amejiuzulu madaraka yake ya uwazir mkuu ccm ikaone imlee tu mzee wa watu cku ziishe lakin wakati huo huo ilitambua kuwa ndoto zke tena za uongoz wa juu ktk nchi hii atausikia tu katka vyombo mbalimbali mfano mzuri kumkata mapema hata top 5 hakwepo hawez kutuulia chama chetu na serikali yetu iliyopo madarakani labda serikali ya ndoto ya usingizini ya ukawa mtampa uongoz lakin c ccm mzee kapotea japo anahaki ya kwenda chama chchote

Kama hamwezi kumshtaki si alishawaambia fungeni midomo yenu mkae kimya?! Sasa mnalialia nini wakati mnamwogopa. Halafu wewe nani kakumbia kuna mtu aliye juu ya sheria? Lowassa hakuna kiongozi wa juu sana serikalini kama unavyoamini wewe. Kuwa kiongozi wa juu sana maana yake hata raisi alikuwa chini yake? Hueleweki mkuu!!
 
Hon Msigwa alisema hajui wapi ametokea huyo jamaa ktk siasa za Tanzania... ilikuwa bahati kwake kujulikana baada ya Tume ya Judge Warioba.
Maneno yake na utashi wake una mashaka sanaa....
Muhimu kuupuza nn anachokizungumza kipindi hiki kuelekea 25th October.
 
Back
Top Bottom