Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,252
- 88,189
Ndio mkuu
Kumbe hiyo avatar ni Wewe... Aiserr...
Kumbe hiyo avatar ni Wewe... Aiserr...
Pembezoni Mwa Sheikh Amri Abeid Kama Sikosei, I Miss Arusha Kwa Kweli
utashtakiwa hapaKodi leo inalipwa kihvoView attachment 1202927
Jana nlizima sana mkuuutashtakiwa hapa
Pama napajua ila skuizi pamepoa,juu yake kidogo kuna ile inaitwa Washington ndo panabamba skuizi,juzi usiku nlikua hapo.Uko mitaa ya idara ya maji (pama)
Pamepoa mno, pale ni pakuanzia kupasha pasha kwanzaPama napajua ila skuizi pamepoa,juu yake kidogo kuna ile inaitwa Washington ndo panabamba skuizi,juzi usiku nlikua hapo.
Kilitokea nini?Mm kwanzia Leo nastaafu kulipa kodi nliyoyafanya jana naona nispoacha kulipa kodi itakuja niletea matatizo zaidi ya jana.kwaherini
Zamani nlikua nakaaga sana pale wakati iko hot,ila nowdays labda kennygarden,Washington kwa mitaa hapo standPamepoa mno, pale ni pakuanzia kupasha pasha kwanza
Kilitokea nini?
Duh! Pole sana.Acha tu kuna mtu kazingua jana ikakuta na mm kichwa kishajichaji nikamuadhibu yani Leo ndo tumesolve police na pesa nyingi imenitoka afu kibaya mpaka kwa familia imefika so nimeamua kustaafu kabisa majanga hayaniishi nikilewa.
ZNZFursakibao uko wapi
Nani kalewa kuna watu huwa hatulewi. sikumbuki kulewaDuh! Pole sana.
Chama kitakumiss.
Usiwe unalewa sasa, kunywa tu ile kuchangamsha mwili basi ( kutoa aibu)
wakati huo mkisubiri hotchair haha
Yes mkuu seriouslyMmh pole sana.. Serious!?
Hapana nastop kabisa asee majanga ya Leo yanatosha naona naelekea pabaya coz mm sjawahi kwenda kulipa kodi nikajipanga kabisa labda nakunywa 5,10 tu naishia no!!me nakunywaga mpaka nihakikishe nimelewa sana ndipo naondokaDuh! Pole sana.
Chama kitakumiss.
Usiwe unalewa sasa, kunywa tu ile kuchangamsha mwili basi ( kutoa aibu)
pole sana mkuuAcha tu kuna mtu kazingua jana ikakuta na mm kichwa kishajichaji nikamuadhibu yani Leo ndo tumesolve police na pesa nyingi imenitoka afu kibaya mpaka kwa familia imefika so nimeamua kustaafu kabisa majanga hayaniishi nikilewa.