Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

tunalipa mrabaha
1568040044076.jpeg
 
Acha tu kuna mtu kazingua jana ikakuta na mm kichwa kishajichaji nikamuadhibu yani Leo ndo tumesolve police na pesa nyingi imenitoka afu kibaya mpaka kwa familia imefika so nimeamua kustaafu kabisa majanga hayaniishi nikilewa.
Kilitokea nini?
 
Acha tu kuna mtu kazingua jana ikakuta na mm kichwa kishajichaji nikamuadhibu yani Leo ndo tumesolve police na pesa nyingi imenitoka afu kibaya mpaka kwa familia imefika so nimeamua kustaafu kabisa majanga hayaniishi nikilewa.
Duh! Pole sana.
Chama kitakumiss.
Usiwe unalewa sasa, kunywa tu ile kuchangamsha mwili basi ( kutoa aibu)
 
Duh! Pole sana.
Chama kitakumiss.
Usiwe unalewa sasa, kunywa tu ile kuchangamsha mwili basi ( kutoa aibu)
Hapana nastop kabisa asee majanga ya Leo yanatosha naona naelekea pabaya coz mm sjawahi kwenda kulipa kodi nikajipanga kabisa labda nakunywa 5,10 tu naishia no!!me nakunywaga mpaka nihakikishe nimelewa sana ndipo naondoka
 
Acha tu kuna mtu kazingua jana ikakuta na mm kichwa kishajichaji nikamuadhibu yani Leo ndo tumesolve police na pesa nyingi imenitoka afu kibaya mpaka kwa familia imefika so nimeamua kustaafu kabisa majanga hayaniishi nikilewa.
pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom