Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mshana Jr binafsi sijawahi kumiliki gari ila imefika wakati nahitaji kununua kwa ajili ya matumizi ya familia hapa mjini na Mara moja moja kwenda likizo kutoka mbeya kwenda kahama naomba ushauri kati ya gari hizi IPI itanifaaa Ist cc 1299,Toyota belta cc 1290,Toyota premio cc 1490,corolla axio cc 1490 na Toyota raum,ipi itanifaa zaidi ?
Kati ya hizo zote uzoefu Wangu uko kwenye IST hiyo naweza kukushauri uchukue
 
Kati ya hizo zote uzoefu Wangu uko kwenye IST hiyo naweza kukushauri uchukue
Mshana,belta na ist zote zinatumia engine moja ya 1NZ FE. Angalia list ya magari inayotumia engine hiyo
Kati ya hizo zote uzoefu Wangu uko kwenye IST hiyo naweza kukushauri uchukue
Mshana,belta na ist zote zinatumia engine moja ya 1NZ FE. Angalia list ya magari inayotumia engine hiyo
 
Mshana,belta na ist zote zinatumia engine moja ya 1NZ FE. Angalia list ya magari inayotumia engine hiyo

Mshana,belta na ist zote zinatumia engine moja ya 1NZ FE. Angalia list ya magari inayotumia engine hiyo
Ok ok kwakweli hili nilikuwa silijui
 
Asante sana Mshana kwa maelezo yako murua kweli itabidi niopt Ist pia kwa manufaa yangu nawengine unaweza saidia faida na hasara ya Ist cc 1290 na Ist cc 1490
 
Asante sana Mshana kwa maelezo yako murua kweli itabidi niopt Ist pia kwa manufaa yangu nawengine unaweza saidia faida na hasara ya Ist cc 1290 na Ist cc 1490
Tofautisha ipo kwenye fuel consumption tu vitu vingine vyote ni kama vinafanana
 
Mshana Jr binafsi sijawahi kumiliki gari ila imefika wakati nahitaji kununua kwa ajili ya matumizi ya familia hapa mjini na Mara moja moja kwenda likizo kutoka mbeya kwenda kahama naomba ushauri kati ya gari hizi IPI itanifaaa Ist cc 1299,Toyota belta cc 1290,Toyota premio cc 1490,corolla axio cc 1490 na Toyota raum,ipi itanifaa zaidi ?
chukua premio mkuu powa zaidi
 
Mshana Jr binafsi sijawahi kumiliki gari ila imefika wakati nahitaji kununua kwa ajili ya matumizi ya familia hapa mjini na Mara moja moja kwenda likizo kutoka mbeya kwenda kahama naomba ushauri kati ya gari hizi IPI itanifaaa Ist cc 1299,Toyota belta cc 1290,Toyota premio cc 1490,corolla axio cc 1490 na Toyota raum,ipi itanifaa zaidi ?
Kwa Kua unahitaji gari ya kuitumia pamoja na Familia angalia Ile yenye room ndani, ambayo ni comfortable... Raum itakufaa zaidi. Lakini IST ni nzuri pia na haito kusumbua pindi ukiamua kuachana nayo.
 
KUNA HII HAPA WAWEZA CHECK Premio inauzwa
Mshana Jr binafsi sijawahi kumiliki gari ila imefika wakati nahitaji kununua kwa ajili ya matumizi ya familia hapa mjini na Mara moja moja kwenda likizo kutoka mbeya kwenda kahama naomba ushauri kati ya gari hizi IPI itanifaaa Ist cc 1299,Toyota belta cc 1290,Toyota premio cc 1490,corolla axio cc 1490 na Toyota raum,ipi itanifaa zaidi ?
 
Habari zenu,

Kwa wale ambao mnahitaji magari kutoka japan, south africa na u.k (especially used though ikiwa unahitaji hata brand new inawezekana)

Ikiwa unahitaji gari kutoka nchi tajwa hapo juu, tafadhari karibu tuzungumze, unipe order yako.

Nitakuletea gari/magari unayohitaji yenye ubora wa hali ya juu kwa bei tutakayo kubaliana.


Unaweza kuniandikia kupitia e-mail hii

ecarstanzania@gmail.com

Ikiwa upo tayari, karibu tuwasiliane!
 
Nikijaza wese wakati gari ipo switch on gauge haipandi kwa nini wadau? Hii kitu imenitokea mara ya pili sasa na gari tofauti tofauti
Baada ya muda itapanda tu ni bora ukiwa kituoni ukalizima gari ni ushauri kwa vituo yote
Kumbuka ndani ya tank kuna boya linasoma na hutumia electronic au mengine ya zamani umeme wa gari kwa hiyo mpaka linyanyuke na kutuma mawasiliano
 
Habari wakuu, nimebadirisha betri , gari ilikuja na betri ya N 40 nikashauliwa kuweka betri ya N 50 , baada tu ya kubadirisha power window ya mlango wa dereva haiwezi kucontrol milango mingine, pia kuna kitaa hapo kwenye power window kinawaka na kuzima. Msaada tutani.
Ni gari aina gani?
Hizi control power window zinazokaa kwenye mlango wa dereva nazo huwa zinapata shot ya umeme kwa kuchezea vibaya au namna yoyote ile mpelekee fundi umeme wa magari akakiangalie huenda akafanikiwa au kukibadili betri kubadili si tatizo
 
Back
Top Bottom