Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,928
- Thread starter
- #4,641
Kati ya hizo zote uzoefu Wangu uko kwenye IST hiyo naweza kukushauri uchukueMshana Jr binafsi sijawahi kumiliki gari ila imefika wakati nahitaji kununua kwa ajili ya matumizi ya familia hapa mjini na Mara moja moja kwenda likizo kutoka mbeya kwenda kahama naomba ushauri kati ya gari hizi IPI itanifaaa Ist cc 1299,Toyota belta cc 1290,Toyota premio cc 1490,corolla axio cc 1490 na Toyota raum,ipi itanifaa zaidi ?