Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

kwa sasa upatikanaji wa leseni vipi? mimi nilijifunza Gari mwaka 2013, nilikata learner Nina cheti cha driving Na Ile learner yangu ya 2013. nifanyaje nipate leseni ya udereva kwa urahisi?
 
kwa sasa upatikanaji wa leseni vipi? mimi nilijifunza Gari mwaka 2013, nilikata learner Nina cheti cha driving Na Ile learner yangu ya 2013. nifanyaje nipate leseni ya udereva kwa urahisi?
Nenda TRA utapata utaratibu mzima na kama learner yako bado ni valid
 
Ni gari aina gani?
Hizi control power window zinazokaa kwenye mlango wa dereva nazo huwa zinapata shot ya umeme kwa kuchezea vibaya au namna yoyote ile mpelekee fundi umeme wa magari akakiangalie huenda akafanikiwa au kukibadili betri kubadili si tatizo
Hapana mkuu, hizi gari za kisasa huwa ukichomoa betri Power WIndow zinaacha kufanya kazi mpaka kuprogram.. Kuprogram unafanya hivi, kila power window ya mlango wa gari unaibonyeza kwenda juu yaani kama unapandisha, kioo kikipanda chote usiachie button, Hold for 5 seconds .. fanya hivyo kwa kila mlango/power window.. utaona main switch kwa dereva itakubali- Hiyo ipo kwa Toyota Wish, Mark X, etc
 
Wakuu, leo wakati nawasha ka IST kangu kuna kelele (vibrating and rattling sound) ikawa inatoka mitaa ya dashboard upande wa dereva. Nikiweka gari ON (bila kuwasha) inapiga tena hizo kelele. Kufika mbele nikapaki nikazima gari nilivowasha zimeacha. Shida ni nini?
 
isije ikawa uliwasha fen ya ndani mkuu?? ingekuwa inatumia stering ya umeme hapo sawa
 
Mkuu Lege naomba msaada wako.
Gar yangu inashida ambayo nimeshindwa kugundua ni kitu gani, kuna muda na muda tena mara chache.
Nikizima kuja kuwasha inazingua mpaka ni boost. Nikahisi terminal haziko nimebadili lakini bado.
Na dalili za kutokea hivyo huwa inaonyesha. Kuna saa kama natembea nimewasha taa mwanga unakuwa una vibrate hata kwenye dashboard inaonyesha mwanga wake hautulii na sterling inakuwa ngumu. Ila nikitembea tembea inapotea.
Na hili tatizo limeanza siku ambayo nili park pale tazara na gari kugoma kuwaka mpaka nikamuita fundi wangu anitolee sterling lock ili tulitoe maeneo hayo kwasababu walituambia watu pale kuwa key less car zinasumbua kuwaka maeneo ya Tazara mpaka zitoke hapo.
Na kweli tulitoka pale hadi tmk na tulipo washa gari ikawaka na fundi kurudishia ile lock. Lakini tatizo likaanza siku hyo hyo mara sterling kuwa ngumu saa nyingine mara zikizma kusumbua kuwaka.
Sasa inanipa tabu kiongozi. Msaada wako naamini utakuwa ushakutana na shida kama hizi.
Natanguliza shukrani mkuu Lege.
 
Pili usukan ukigoma huwez kuwasha gari na sababu ya kulock mojawapo ni kupaki vibaya kwa maana ya kutonyoosha usukani gari unapaki usukan upo kwen kona kali
 
Hivi ni nn kinachoweza kusababisha brake light moja ikaacha kuwaka especially kama gari haijatembea sana....na je reflector ni nn maana nilikamatwa na traffic juzi coz brake light yangu moja ya upande wa kushoto ilikuwa haiwaki akaniuliza pia kama nina reflector
 
Hivi ni nn kinachoweza kusababisha brake light moja ikaacha kuwaka especially kama gari haijatembea sana....na je reflector ni nn maana nilikamatwa na traffic juzi coz brake light yangu moja ya upande wa kushoto ilikuwa haiwaki akaniuliza pia kama nina reflector
Okay. Mosi brake light ikiacha kuwaka maanake bulb yake imeungua. Umeicheki? Ni kiasi cha kuibadili tu hiyo bulb(most likely) na haijalishi gari imetembea umbali gani inaungua mida wowote

Pili gari zote huwa zina reflector ili kusaidia uonekane usiku...kulikuwaga na vibao flani hasa kwa magari makubwa zamani ila siku izi nadhani taa zenyewe za nyuma zina act kama reflector au vinakuwepo vidogo vyekundu kwa chini....pia triangle zile.ni reflector pia unapoziweka barabarani kama tahadhari wakati unapopata breakdown zinareflect mwanga na hasa ndo lengo uonekane kirahisi.
 
Hivi ni nn kinachoweza kusababisha brake light moja ikaacha kuwaka especially kama gari haijatembea sana....na je reflector ni nn maana nilikamatwa na traffic juzi coz brake light yangu moja ya upande wa kushoto ilikuwa haiwaki akaniuliza pia kama nina reflector
Break light kutowaka pengine ni bulb imeungua
Hizi ndio reflectors
4f506575fb696ed10fb97bd5384b72fb.gif
Matumizi yake ni pale pale inapopata shida njiani hizo  hutumika kama ishara
 
Back
Top Bottom