Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Kaundime2
Please call me on 0767328063, sisi ni Autocom Japan, used cars importers from Japan, office zetu zipo hapa Quality Center, Nyerere Road Dar es salaam. Tunatoa ushauri wa magari, na pia magari yetu ni bei nzuri kabisa na well maintained. Mkuu naomba nipigie. Hautojutia uamuzi wako.

Kwenye website yenu wekeni price tag ya kila gari kama walivyofanya wenzenu wa beforward sio kufahamu bei mpaka mteja aangaike kuwatafuta nyie
 
Mkuu, ndugu Mshana,
Mimi naomba msaada kuhusu utoaji wa gari (used car) zile estimations za TRA, hizi si huwa kuna formula yake wanatumia? Tafadhali wakuu naomba mnisaaidie katika haya mahesabu kwani nimenunua used car kutoka japan with these specification:
C&F Dar es salaam $4,100
Ocean freight $900
Gross weight 990kg
Used vehicle Mitsubishi pajero Mini year, 2007, 0.66L Petrol
Sasa hii nikubali kulipia kiasi gani pale TRA??? (Maana pale huwa kuna overestimation za ajabu).
Shukran!
 
Kaundime2
Please call me on 0767328063, sisi ni Autocom Japan, used cars importers from Japan, office zetu zipo hapa Quality Center, Nyerere Road Dar es salaam. Tunatoa ushauri wa magari, na pia magari yetu ni bei nzuri kabisa na well maintained. Mkuu naomba nipigie. Hautojutia uamuzi wako.

Mmmhhh sio mwiziii huyu???
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, ndugu Mshana,
Mimi naomba msaada kuhusu utoaji wa gari (used car) zile estimations za TRA, hizi si huwa kuna formula yake wanatumia? Tafadhali wakuu naomba mnisaaidie katika haya mahesabu kwani nimenunua used car kutoka japan with these specification:
C&F Dar es salaam $4,100
Ocean freight $900
Gross weight 990kg
Used vehicle Mitsubishi pajero Mini year, 2007, 0.66L Petrol
Sasa hii nikubali kulipia kiasi gani pale TRA??? (Maana pale huwa kuna overestimation za ajabu).
Shukran!

Kuna wadau humu wanajua vizuri sana kuhusu hilo naamini watakuja na majibu sahihi hasa hasa naomba kuwaita RRONDO Kaizer na N'yadikwa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, ndugu Mshana,
Mimi naomba msaada kuhusu utoaji wa gari (used car) zile estimations za TRA, hizi si huwa kuna formula yake wanatumia? Tafadhali wakuu naomba mnisaaidie katika haya mahesabu kwani nimenunua used car kutoka japan with these specification:
C&F Dar es salaam $4,100
Ocean freight $900
Gross weight 990kg
Used vehicle Mitsubishi pajero Mini year, 2007, 0.66L Petrol
Sasa hii nikubali kulipia kiasi gani pale TRA??? (Maana pale huwa kuna overestimation za ajabu).
Shukran!
[/QUOT

Mkuu hapo ushuru wake si mkubwa na kwa sababu tra hawaaminiki wanaweza ku-uplift unreasonably wewe andaa estimation utakayoipata kwenye calculator Yao siku hizi imerahisishwa cha kufanya jumlisha hizo gharama then fuata maelekezo kwenye calculator ya tra naamini utaclear mzigo wako ila kama unadeal na agency ktk mchakato jaribu kumtrace huwa wana connection na tra wanaweza kubashiri gharama hata kabla ya assessment.Ubarikiwe sana na Hongera.
 
Wadau naomba msaada kati ya Terios na Cami ipi ni gari nzuri kwenye unywaji wa mafuta, upatikanaji wa spair parts na bei za spair, na durability zake.
 
Leo njiani nilikutana na gari yenye plate no ya MCA kutoka Mwenge kwenda Tegeta. Inamaana TZ tumeshafikia plate no zinazoanza na M? Au hii gari vp? Mimi ninachojua, bado tupo D. Sasa hii inanishangaza wadau.
 
Sawa Mkuu, kama nimekuelewa vyema unasema mimi nijitayarishe tu vyovyote. Basi nipe basi mwanga hata kidogo niweze kubishana na huyu Clearing agent wangu. Kwa mfano zile taxes wanazozikata ukiachia VAT, ni zipi hizo? Je zina fixed rates?

Mkuu, ndugu Mshana,
Mimi naomba msaada kuhusu utoaji wa gari (used car) zile estimations za TRA, hizi si huwa kuna formula yake wanatumia? Tafadhali wakuu naomba mnisaaidie katika haya mahesabu kwani nimenunua used car kutoka japan with these specification:
C&F Dar es salaam $4,100
Ocean freight $900
Gross weight 990kg
Used vehicle Mitsubishi pajero Mini year, 2007, 0.66L Petrol
Sasa hii nikubali kulipia kiasi gani pale TRA??? (Maana pale huwa kuna overestimation za ajabu).
Shukran!
[/QUOT

Mkuu hapo ushuru wake si mkubwa na kwa sababu tra hawaaminiki wanaweza ku-uplift unreasonably wewe andaa estimation utakayoipata kwenye calculator Yao siku hizi imerahisishwa cha kufanya jumlisha hizo gharama then fuata maelekezo kwenye calculator ya tra naamini utaclear mzigo wako ila kama unadeal na agency ktk mchakato jaribu kumtrace huwa wana connection na tra wanaweza kubashiri gharama hata kabla ya assessment.Ubarikiwe sana na Hongera.
 
RRONDO msaada wako wa info za BMW 3 ulizodai ulizipost zikuonesha hadi bei za spea ikiwemo filter
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom