Yote magari ya kike hayo
Kwahiyo unamshauri kwa bajeti yake anunue L.C V8 au Vogue, au aache tu kununua!!
Yote magari ya kike hayo
Kaundime2
Please call me on 0767328063, sisi ni Autocom Japan, used cars importers from Japan, office zetu zipo hapa Quality Center, Nyerere Road Dar es salaam. Tunatoa ushauri wa magari, na pia magari yetu ni bei nzuri kabisa na well maintained. Mkuu naomba nipigie. Hautojutia uamuzi wako.
Kaundime2
Please call me on 0767328063, sisi ni Autocom Japan, used cars importers from Japan, office zetu zipo hapa Quality Center, Nyerere Road Dar es salaam. Tunatoa ushauri wa magari, na pia magari yetu ni bei nzuri kabisa na well maintained. Mkuu naomba nipigie. Hautojutia uamuzi wako.
Nunua Raum....enough space....ulaji mdogo mafuta.....haisumbui ovyo ukiitunza vizuri......ingawa IST ina sifa hizo hizo kasoro ya space.....
Nunua raum new model 10 mill
Nunua raum mkuu,inanafasi ya kutosha.
eti vipi kuusu kugusa chini, ipi imeinuka zaidi kati ya izo?
Nadhani Raum iko chini ila dawa ni kubadili tairi zake inakuwa sawa kabisa .......
Mkuu, ndugu Mshana,
Mimi naomba msaada kuhusu utoaji wa gari (used car) zile estimations za TRA, hizi si huwa kuna formula yake wanatumia? Tafadhali wakuu naomba mnisaaidie katika haya mahesabu kwani nimenunua used car kutoka japan with these specification:
C&F Dar es salaam $4,100
Ocean freight $900
Gross weight 990kg
Used vehicle Mitsubishi pajero Mini year, 2007, 0.66L Petrol
Sasa hii nikubali kulipia kiasi gani pale TRA??? (Maana pale huwa kuna overestimation za ajabu).
Shukran!
Mkuu, ndugu Mshana,
Mimi naomba msaada kuhusu utoaji wa gari (used car) zile estimations za TRA, hizi si huwa kuna formula yake wanatumia? Tafadhali wakuu naomba mnisaaidie katika haya mahesabu kwani nimenunua used car kutoka japan with these specification:
C&F Dar es salaam $4,100
Ocean freight $900
Gross weight 990kg
Used vehicle Mitsubishi pajero Mini year, 2007, 0.66L Petrol
Sasa hii nikubali kulipia kiasi gani pale TRA??? (Maana pale huwa kuna overestimation za ajabu).
Shukran![/QUOT
Mkuu hapo ushuru wake si mkubwa na kwa sababu tra hawaaminiki wanaweza ku-uplift unreasonably wewe andaa estimation utakayoipata kwenye calculator Yao siku hizi imerahisishwa cha kufanya jumlisha hizo gharama then fuata maelekezo kwenye calculator ya tra naamini utaclear mzigo wako ila kama unadeal na agency ktk mchakato jaribu kumtrace huwa wana connection na tra wanaweza kubashiri gharama hata kabla ya assessment.Ubarikiwe sana na Hongera.
Mkuu, ndugu Mshana,
Mimi naomba msaada kuhusu utoaji wa gari (used car) zile estimations za TRA, hizi si huwa kuna formula yake wanatumia? Tafadhali wakuu naomba mnisaaidie katika haya mahesabu kwani nimenunua used car kutoka japan with these specification:
C&F Dar es salaam $4,100
Ocean freight $900
Gross weight 990kg
Used vehicle Mitsubishi pajero Mini year, 2007, 0.66L Petrol
Sasa hii nikubali kulipia kiasi gani pale TRA??? (Maana pale huwa kuna overestimation za ajabu).
Shukran![/QUOT
Mkuu hapo ushuru wake si mkubwa na kwa sababu tra hawaaminiki wanaweza ku-uplift unreasonably wewe andaa estimation utakayoipata kwenye calculator Yao siku hizi imerahisishwa cha kufanya jumlisha hizo gharama then fuata maelekezo kwenye calculator ya tra naamini utaclear mzigo wako ila kama unadeal na agency ktk mchakato jaribu kumtrace huwa wana connection na tra wanaweza kubashiri gharama hata kabla ya assessment.Ubarikiwe sana na Hongera.