Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mkuu mshana jr nashukuru sana kwa thread yako hii, kuna vitu vimenisaidia. Mimi naomba tu kujua mafundi wazuri, kwa service ya gari hizi Raum new model na Toyota Voltz. Kwa Dar, fundi wa mwanzo niliyekuwa naye now hayupo.

unaishi wapi?
 
Last edited by a moderator:
Ufanyeje unapopata ajali na una bima kubwa? Comprehensive

1:kuripoti polisi
2: kuripoti kwenye bima yako ndani ya masaa 48
3: pata fomu hizi toka polisi-PF 90 ambayo ni ripoti na maelezo ya ajali, PF91-Mchoro wa ajali, PF 101?- VIR, Vehicle inspection report hii inaonyesha gari kiwango cha uharibifu wa gari na mwisho 115 Judgement form
Ukishapata hivyo vyote peleka gari garage kwa ajili ya ukaguzi na quotation

Ukifika bima na hizo documents utahitajika kujaza claim form na kuambatanisha na copy ya leseni, copy ya covernote na risiti yake! Maelekezo na maswali mengine utakutana nayo bima
 
labda aombe mwanamke, maana mwanamke akilegeza sauti..."jamani invidhiboo, tunaomba jukwaa la mapishii, na la mmu..ah, usisahau na chitchat jamani dia", hapo Invisible mwili wote unamlegea legelege, faster anamake sure.
Ha ha haaaa hili gari fanyia overhaul kabisa maana hata ukibadili ring tu bado sleeve imechimba sana!!!!

Kweli is never boring, live longer JF
 
Last edited by a moderator:
Kwenye Mark X engage manual transmission then button zagear zipo chini ya steering, lakini tumia tu auto ndio kisasa S+ na S- nafikiri ni D1 na D2, D1 ya mwinuko na tifutifu D2 utelezi

S-shift na S+shft ni Kwenye manual mode gear unazikontroo mwenyewe mkuu
 
Back
Top Bottom