JT2014
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,863
- 1,367
Safi sana mkuu MANI, ni vizuri atumie njia hii kama sehemu ya troubleshooting.Kabla ya kuituhumu gear box ni vemaMkuu hiyo gari haikuwa na guarantee? Tafuta fundi wa uhakika au kama huhitaji hiyo 4 wheel unaweza kutoa shaft za mbele kuliko kufungua gear box inaweza ikazalisha zaidi ya hayo.
kutenganisha shafti na hivyo ataangalia kama tatizo litaisha au litaendelea kuwepo na hapo atafanya maamuzi sahihi.
Last edited by a moderator: