Kiongozi Asante Kwa msaada wako, nitamwambia jamaa yangu afutilie na kufanya hayo maelekezo ya YouTube, then nitarudisha feedback, Asante Kwa links nzuri, zimeongeza ufahamu mwingi kuhusu kuwaka Kwa taa kwenye dashboard na namna ya kuziondoa.
*Ila sina uhakika/ sifahamu iwapo Kuna uhusiano kati ya taa kuwaka Kwa taa na kuzima Kwa gari ama gari kugoma kuchanganya speed hasa kwenye mwinuko au Ukiwa kwenye foleni*
Aidha Asante Kwa kushare hio link ya RAV4 , inaonekana hizi RAV4 za miss Tanzania za kuanzia 2006 zina hili Tatizo la taa kuwaka na kukosa nguvu za kutembea/ kuzima, nadhani Hii ni fursa Kwa Mafundi wetu kubaini solution ya hili Tatizo ili waweze kusaidia wakati huo huo wakijiongezea kipato.
Mkuu yaani unaumiza kichwa na gari yenye jina la TOYOTA naombeni home work zote ngumu za toyota nipewe colabo mm kwa ugonjwa wowote ule maana nishazifuta kwenye ulimwengu wa kiusumbufu..sijasoma toka mwanzo lkn kwa maelezo yako hayo nishakutana na ugonjwa huo wa kuzima zima kwa rav 4 hiyo..na taa ya vsc na trc / ile ya utelezi inawaka nilipambana nayo ikatulia kuzima zima ishu ikabakia kwenye hizo taa na kama inasoma fault ya communication solution yake ipo..Kiongozi Asante Kwa msaada wako, nitamwambia jamaa yangu afutilie na kufanya hayo maelekezo ya YouTube, then nitarudisha feedback, Asante Kwa links nzuri, zimeongeza ufahamu mwingi kuhusu kuwaka Kwa taa kwenye dashboard na namna ya kuziondoa.
*Ila sina uhakika/ sifahamu iwapo Kuna uhusiano kati ya taa kuwaka Kwa taa na kuzima Kwa gari ama gari kugoma kuchanganya speed hasa kwenye mwinuko au Ukiwa kwenye foleni*
Aidha Asante Kwa kushare hio link ya RAV4 , inaonekana hizi RAV4 za miss Tanzania za kuanzia 2006 zina hili Tatizo la taa kuwaka na kukosa nguvu za kutembea/ kuzima, nadhani Hii ni fursa Kwa Mafundi wetu kubaini solution ya hili Tatizo ili waweze kusaidia wakati huo huo wakijiongezea kipato.
Unahitaji colobo gani hapo?Mkuu yaani unaumiza kichwa na gari yenye jina la TOYOTA naombeni home work zote ngumu za toyota nipewe colabo mm kwa ugonjwa wowote ule maana nishazifuta kwenye ulimwengu wa kiusumbufu..sijasoma toka mwanzo lkn kwa maelezo yako hayo nishakutana na ugonjwa huo wa kuzima zima kwa rav 4 hiyo..na taa ya vsc na trc / ile ya utelezi inawaka nilipambana nayo ikatulia kuzima zima ishu ikabakia kwenye hizo taa na kama inasoma fault ya communication solution yake ipo..
Mkuu vipi gari jamaa yako ashailekebisha ..kwaharaka haraka hapo hizo taa zingine achana nazo bali taa yakuizingatia hapo ni chek engine peke yake na hiyo ndio itakupa mwongozo mzima..shida iko wapi.Wakubwa Habari
Gari ya jamaa yangu ana gari RAV4 miss Tanzania, ambayo ni automatic transmission (sio manual), akipiga moto gari yake (hasa kwenye mlima) inastuck, inakuwa kama inagoma kupanda, hivyo anakuwa anakanyanga mafuta Kwa kuvizia vizia , akikanyaga mafuta sana (mlimani) gari inakuwa nzito, inagoma kwenda na hata kuzima, ikishazima akiwasha inaweza isiwake, mpaka ikae Kwa muda Ndio akiwasha inawaka na anaanza safari.
Aidha, gari likienda Mwendo mrefu, mfano 50km huanza kuonyesha taa za check engine, VSC na 4wd endapo ataendelea kuendesha gari litakosa nguvu/ litaanza kuonyesha kugoma kwenda - kama nilivyoeleza hapo juu, na wakati mwingine Ukiwa kwenye foleni ya muda mrefu gari huanza kuwasha taa zoote kwenye dashboard na hata kuzima, and kama halijazima ukikanyaga mafuta litaanza Mwendo Kwa shida Sana na kuchanganya taratibu
Au, iwapo litazima ikitaka kuwasha litashindwa kupiga starter, itabidi ukae kama nusu saa hivi na ukiwasha litawaka utaendelea na safari yako kwa umbali wa hata km 20 then Tatizo kusita kwenda speed linaanza tena.
Je Tatizo ni nini, ?
Siyakuchangia mawazo na maushauri ili chuma itengamae mkuu..sikaomba msaada kuwa rav 4 yake inasumbua sana..TOYOTA sio gari yakuumiza kichwa ya FUNDIUnahitaji colobo gani hapo?
Mkuu achana na fuel pump shida mara nyingi huwa inakuwa kwenye fuel filter unakuta ishajaa uchafu so mafuta yanapita kwa tabu na kama ukiipaki gari kwa mda mrefu ukiiwasha itawaka fresh lkn baada ya mda flani kutembea inaanza kuzingua tena so lazima uipaki kwa mda au kama utaiforce kuwaka itawaka kwa shida sana..na itatembea kwa shida shida sana na kama ukiipaki na kuipiga lesi inapiga back fire..au ukiwa unatembea ukiikanyagia mpaka chini kabisa inakuwa na back fire pia kama ni YES basi gari inashida kwenye mfumo wa mafutaFuel pump alishabadiri
Naona unajibu huku Unaelezea Tatizo lilivyo, kwenye kupanda mlima Ndio Hatari, inasita sita sanaMkuu achana na fuel pump shida mara nyingi huwa inakuwa kwenye fuel filter unakuta ishajaa uchafu so mafuta yanapita kwa tabu na kama ukiipaki gari kwa mda mrefu ukiiwasha itawaka fresh lkn baada ya mda flani kutembea inaanza kuzingua tena so lazima uipaki kwa mda au kama utaiforce kuwaka itawaka kwa shida sana..na itatembea kwa shida shida sana na kama ukiipaki na kuipiga lesi inapiga back fire..au ukiwa unatembea ukiikanyagia mpaka chini kabisa inakuwa na back fire pia kama ni YES basi gari inashida kwenye mfumo wa mafuta
Hizo taa ukizifuata zitakuchanganya kama zinawaka na taa ya check engine inawaka ww dili na chek engine kwanza ndio huwa na shida ya kusababisha hizo taa ziwake..yaani kwenye engine kuwakiwa na shida yoyote basi hizo taa lazima ziwake .na kama ukipima kwenye mashine hizo taa zitakupa fault hii hapa P1604 STARTABILITY MALFUNCTION.Nimejaribu kuangalia tena.
Wanadai vsc na 4wd light zinawaka as a prevention measure(system inadisactivate 4wd na vsc) ili kuzuia uharibifu mkubwa zaidi kwenye gari, i.e hamna shida kwenye vsc na 4wd ila zipo inactive kwa usalama zaidi.Hivyo nimejaribu kutafuta ufumbuzi wa tatizo la 'kustall' na kwenye forums nimekuta:
Toyota RAV4 Questions - The check engine, VSC, and 4WD lights keep coming on at the same time.... - CarGurus
- inaweza kuwa ignition coil mbovu Rav4 Keeps Stalling [solved] - Toyota RAV4 Forums au
- loose hose 2006-2012 Toyota RAV4 Hose Check 2007 Toyota RAV4 3.5L V6 au
- loose "press Fitting" View attachment 943747
Gari ikishakuwa na shida yakupasa kuwa makini sana hata ukifika kwa fundi ukamwambia gari yangu kupandisha mliman inasumbua unaweza kuanza kutengeneza kitu ambacho sio kibovu haswaa sehem ulipo peleka pasiwe na mlima..na hapa wengi huwa wanachanganya kati ya gearbox na shida kwenye engine..engine ikiwa parformance yake mbaya basi hata gia haitobadili vizuri au hutoweza pata ile power yenyewe..lkn engine ikiwa powa ni rahisi kugundua ugonjwa kama ni gearbox..Naona unajibu huku Unaelezea Tatizo lilivyo, kwenye kupanda mlima Ndio Hatari, inasita sita sana
Ndio mkuu.Hizo taa ukizifuata zitakuchanganya kama zinawaka na taa ya check engine inawaka ww dili na chek engine kwanza ndio huwa na shida ya kusababisha hizo taa ziwake..yaani kwenye engine kuwakiwa na shida yoyote basi hizo taa lazima ziwake .na kama ukipima kwenye mashine hizo taa zitakupa fault hii hapa P1604 STARTABILITY MALFUNCTION.
Thank you mkubwa, siku zako za Kazi tafadhali, au hata J2 unapiga kazi.Gari ikishakuwa na shida yakupasa kuwa makini sana hata ukifika kwa fundi ukamwambia gari yangu kupandisha mliman inasumbua unaweza kuanza kutengeneza kitu ambacho sio kibovu haswaa sehem ulipo peleka pasiwe na mlima..na hapa wengi huwa wanachanganya kati ya gearbox na shida kwenye engine..engine ikiwa parformance yake mbaya basi hata gia haitobadili vizuri au hutoweza pata ile power yenyewe..lkn engine ikiwa powa ni rahisi kugundua ugonjwa kama ni gearbox..
Tukiludi kwenye mada husika.ili tusiumize kichwa sana kama gari ipo hapa mjini mm nakupa OFA ya kukupima bureee kabisa kama member wa JF ukifika na gari mwenge ofisin lkn kama utataka nikufuate utagaramikia nauli yangu tuuu basi ya kutoka mwenge na kunirudisha mwenge.. nakupimia buree..
Lkn kama utakuwa nje ya mkoa wa dar hakija haribika kitu pia nitakusaidia kukuelekeza ikiwezekana kwa whatsapp video call jinsi ya kufanya ili uipime manually fault code na mm nitakusomea na kukwambia gari yako inashida gani..buree kabisa..
Okey sawa sawa so now gari imetenga maa au bado??.. maana mm nishawahi kutana nayo moja rav 4 kama hiyo ilinizingua sana ugonjwa kama huo huo na mara ya kwanza test nilipandisha na gari makongo juu nilijuta nayo.. lkn ilikuja tengamaa ikawa fresh.Ndio mkuu.
Ndicho nilichomaanisha hapo kuwa vsc na 4wD hazina shida ....
Mm nipo siku zote mkuu..some times huwa napiga 24hrs..hasa kukiwa na kazi za kuprogram.Thank you mkubwa, siku zako za Kazi tafadhali, au hata J2 unapiga kazi.
So Kesho naweza kutia teamMm nipo siku zote mkuu..some times huwa napiga 24hrs..hasa kukiwa na kazi za kuprogram.
Ndio mkuu karibu sana.So Kesho naweza kutia team
Asubuhi inaweza kuwa time nzuri zaidiNdio mkuu karibu sana.
bdo ataleta mrejesho.Okey sawa sawa so now gari imetenga maa au bado??.. maana mm nishawahi kutana nayo moja rav 4 kama hiyo ilinizingua sana ugonjwa kama huo huo na mara ya kwanza test nilipandisha na gari makongo juu nilijuta nayo.. lkn ilikuja tengamaa ikawa fresh.
Niyako mkuuGari ikishakuwa na shida yakupasa kuwa makini sana hata ukifika kwa fundi ukamwambia gari yangu kupandisha mliman inasumbua unaweza kuanza kutengeneza kitu ambacho sio kibovu haswaa sehem ulipo peleka pasiwe na mlima..na hapa wengi huwa wanachanganya kati ya gearbox na shida kwenye engine..engine ikiwa parformance yake mbaya basi hata gia haitobadili vizuri au hutoweza pata ile power yenyewe..lkn engine ikiwa powa ni rahisi kugundua ugonjwa kama ni gearbox..
Tukiludi kwenye mada husika.ili tusiumize kichwa sana kama gari ipo hapa mjini mm nakupa OFA ya kukupima bureee kabisa kama member wa JF ukifika na gari mwenge ofisin lkn kama utataka nikufuate utagaramikia nauli yangu tuuu basi ya kutoka mwenge na kunirudisha mwenge.. nakupimia buree..
Lkn kama utakuwa nje ya mkoa wa dar hakija haribika kitu pia nitakusaidia kukuelekeza ikiwezekana kwa whatsapp video call jinsi ya kufanya ili uipime manually fault code na mm nitakusomea na kukwambia gari yako inashida gani..buree kabisa..
Kiongozi nipo njiani nakuja mwengeAsubuhi inaweza kuwa time nzuri zaidi