Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,108
- 9,214
Wakuu gari ikiandika O/D OFF nini shida??
Tafsiri ya O/D ni Over Drive kwenye gear lever kuna button ya kuwasha na kuzima O/D...mara nyingi wengi hawaizimi lakini kama umeizima basi ukienda speed zaidi ya 80 inabidi uiwashe ili kuleta stability barabaraniWakuu gari ikiandika O/D OFF nini shida??
Fafanua ili usaidiwe shida yako imeandika kwa namna ipi inawaka moja kwa moja au inawaka na kuzima??.Wakuu gari ikiandika O/D OFF nini shida??
Huu ushauri kiboko..oil gari isiwake!!?Mara nying inakuwa vitu vitatu, battery imechoka, oil unayotumia sio sahihi hivyo kusababisha hilo kutokea, weka oil sahihi ya nissan, na mwisho inawezekana kuna unyevu au maji kwenye line ya mafuta, hivyo flush line na tank liwe safi kabisa kisha weka mafuta mapya, kwa hayo tatizo litakuwa limeisha. Mara nyingi mafundi wanakimbilia starter lakini haiwi tatizo katika ugonjwa huo.
NDIYO.Mimi ni mmoja wa wamiliki wa magari ambayo hayatumii oil ili mradi..simply ukiweka engine oil ambayo siyo specified kwa hilo gari usahau....kasome theory za nissan..benz...bmw etc utaelewa vizuri.Huu ushauri kiboko..oil gari isiwake!!?
Bmw benz sawa lkn nissan mhhhh nissan gani mkuu hiyo.NDIYO.Mimi ni mmoja wa wamiliki wa magari ambayo hayatumii oil ili mradi..simply ukiweka engine oil ambayo siyo specified kwa hilo gari usahau....kasome theory za nissan..benz...bmw etc utaelewa vizuri.
Aksante mkuu.Hii ni mpaka uende TRA investigation department
Nani kakuongopea uimara na ubora wa gari unaangaliwa kwa kilomita zilizotembewa??..Hapana , ndio bei zake ila cha msingi Cheki kama haijatembea kilometa nyingi ikafikia 180000km kama ipo chini ya 80 elfu chukua utaenjoy bro
Ubora upyaa mzee wazungumzia??kama wa engine itakuwa bora kufuatana na uliyo iwekaHabari
Kiongozi hv IST ambayo engine yake imekufa. Kisha ukabadilisha na kuweka ENGINE mpya (used Dubai) yenye uwezo kama ya mwanzo kwa kila kitu. Je ubora wa gari na uimara utakuaje?baada ya mabadiliko hayo.
Msaada kwa hili wadau plz
Kama engine ni sawa ubora na uimara utategemea fundi atakayeifungaHabari
Kiongozi hv IST ambayo engine yake imekufa. Kisha ukabadilisha na kuweka ENGINE mpya (used Dubai) yenye uwezo kama ya mwanzo kwa kila kitu. Je ubora wa gari na uimara utakuaje?baada ya mabadiliko hayo.
Msaada kwa hili wadau plz
Kama engine ni sawa ubora na uimara utategemea fundi atakayeifunga
Ubora upyaa mzee wazungumzia??kama wa engine itakuwa bora kufuatana na uliyo iweka