LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Doooo hiyo ni ngumu sana mkuu..labda kwenye pedal ya mafuta uweke jiwe au kitu kizito..hahahahaha joks tuu mkuu..nahisi haiwezekana kama haina cruiser control.Wakuu naomba kujua kwa gari za auto, nawzaje kuendesha bila Ku press pedal ya mafuta kwa gari ambayo haina cruiser control