boy 1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 414
- 393
Shukrani maana kuna fundi ameniambia kuchek engine kwa computer nimpe 50 daahh tutalizwa sana tusiojua asante kwa Uzi huuHakuna shida yoyote ndio inatakiwa iwe hivyo na taa itakayoendelea kuwaka ndio itakupa tahadhari ya tatizo husika