Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 18,654
- 13,475
Ok nitacheck vzr aina ya engine. Ila ni fourSix au four
Na pia yakupasa kuzingatia aina ya engine maana engine zipo tofauti .
Ok nitacheck vzr aina ya engine. Ila ni fourSix au four
Na pia yakupasa kuzingatia aina ya engine maana engine zipo tofauti .
Sidhani kama kuna gari linakuja na shida moja kwa moja, eti kisa tu labda ni toleo fulani au ni brand fulani.Hivi hizi gari vw golf 5 diesel engine huwa huwa zina matatizo gani?
Tatizo ni upatikanaji wa spare parts zake hapa Tz..Ondoa fikra ya gari ndogo ya diesel yenye engine chini ya Cc 2500.Hivi hizi gari vw golf 5 diesel engine huwa huwa zina matatizo gani?
Mpwa mpaka huku upoo?
Natumia atlantic oilInategemea unatumia oil za kilometers ngapi kuna 3000 5000 nk
Inategemea unatumia oil za kilometers ngapi kuna 3000 5000 nk
Mazda tribute ina share components na dada yake Ford Escape. Ila kwa uzoefu wangu, parts zake sio nyingi mtaani. Hasa body panels. Ulaji wa mafuta unategemea na engine utakayo chagua. Ila ile 2.0L inline 4 ulaji wake haupishani saana na rav4 ya same engine. (7 to 9km per litre kwa mjini) kutegemeana na matumizi yako.Naomba kujua kuhusu mazda tribute, zina matatizo gani, upatikanaji wa spare, gharama za spare na ulaji wa mafuta.
Kama engine inauzwa bei hiyo, ni bora anunue engine tuu.Ni kweli mkuu fundi yupo sahihi.
Kwanza nianze kukulaumu na kuseme huo ni uzembe wa hali ya juu sana .
Kwa upande wangu hapo najua kitu ambacho kimeharibika ni valve lazima zitakuwa zimepinda ndio maana gari ina miss sana na hiyo pesa usilalamike wala sio nyingi kama ni jumla kwa kazi zote pamoja na garama ya kifundi.ina maana hapo lazima ufungue cyrinder head ubadili valve zilizo pinda,ubadili valve seal,cyrinder head gaskate,na kuifanyia service kbs.
Au kama vipi kanunue engine nyingine mswaki kama laki 7 au 8 hivi weka hapo..
Maana gx100 huwa inakuwa na kamiss flani hivi kanakera sana.hutokana na valve.
Kweli kabisa. Na gari ikiwa kwenye highway ina cool kirahisi kuliko mjini.Safari ndefu hiyo unayoizungumzia ni kutoka wapi mpaka wapi mkuu.
Na kama ni hivyo basi usihangaike sana mkuu nifahamuvyo mm unaweza ukatoka na gari from dar to mwanza kama iko powa haina shida na haiwezi chemsha labda kama kuwe na shida kwenye gari yako.labda cooling systerm haijakaa sawa.
Aise, hebu cheki level ya coolant. Kilishawahi nitokea kitu kama hicho.Gari imeleta mushikeli kadri ninavyokanyaga accelerator ile gear box inapiga kelele kama vyuma vinapigana, awali iliwekwa ATF isiyo sahihi, baada ya kuiweka ATF sahihi mlio wa kelele umepungua kiasi lakini bado nahitaji msaada zaidi kujua nini kimeathirika na inatibikaje. Msaada tafadhali wandugu
Pia hakikisha ATF Level iko sawa as recommended by the manufacturer.Gari imeleta mushikeli kadri ninavyokanyaga accelerator ile gear box inapiga kelele kama vyuma vinapigana, awali iliwekwa ATF isiyo sahihi, baada ya kuiweka ATF sahihi mlio wa kelele umepungua kiasi lakini bado nahitaji msaada zaidi kujua nini kimeathirika na inatibikaje. Msaada tafadhali wandugu
asante kwa ushauri, iliwekwa BP 40 ATF badala ya DExtron A3 kwa sasa nilipata Dextron A1 angalau mlio unapotea kabisa yaani si sawa na awali maana ilikuwa hata mwingine aliye nje akidrive gari yake anasikia hio kelele. kwa sasa mlio umshuka zaidi, japo kuna miss nyingi licha ya kubadili spark na plug zake mpya origino za gari sahihi.Pia hakikisha ATF Level iko sawa as recommended by the manufacturer.
Ubarikiwe mkuu nilibaki kidogo tu niubebe ushari wake kilichonizuwia ni nasaha zakoAcha uongo mkuu kama hujui bora kukaa kimyaa kuliko ukaongea na kusababisha hasara kwa mwomba ushauri
Mkuu shukuru mungu mimi nishapigwa elfu hamsini hiyo na tatizi halikuondokaShukrani maana kuna fundi ameniambia kuchek engine kwa computer nimpe 50 daahh tutalizwa sana tusiojua asante kwa Uzi huu