Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,304
- 22,793
Nina huwaga anafanyaga Yoga juzi kati alienda China.Nina Zamdela kwenye maisha yake nje ya isidingo
Hiyo account yake ya instaView attachment 1258097
Nina huwaga anafanyaga Yoga juzi kati alienda China.Nina Zamdela kwenye maisha yake nje ya isidingo
Hiyo account yake ya instaView attachment 1258097
Lakini kila jamii na tamaduni zao mkuuSio gay
Sema ameact
Zmn alikuwepo prada yule mhindi,(real life alikuwa na familia y mke na watoto)
Wenzetu wapo mbali mnoo
Ingekuwa bongo wangeambiwa wanahamasisha ushoga
Anaonekana umri umesoma lakini she is still fresh as iceNina huwaga anafanyaga Yoga juzi kati alienda China.
YepAnaonekana umri umesoma lakini she is still fresh as ice
Kuna jambo la kujifunza hapoYep
Mazoezi yanalinda mwili
kweli wengi mule wana 35 kwenda juuAnaonekana umri umesoma lakini she is still fresh as ice
Hata vile vi manzi vya HD Glam ?kweli wengi mule wana 35 kwenda juu
Kwanini sasa unasema hushoboki kwa mwanaume kama yule?Ila uyo Ndugu yake moloi kaja Kwa kasi sana
Yani kuingia tu kwenda kwenye pati macho juu ka kinyonga
Halaf kule resta alivyokutana na kotalo tayari mpaka kiss
Mi mwanaume kama huyo hata sishoboki
Kule Kwa hedr kama familia yake itaenda Kenya sioni usalama pale kabisa uku nyuma wanaobaki mm
Kwakweli Lefa kaja na papara sana. Si angesoma situation kwanza? Hili la kumparamia Kghotalo,sijui. Ngoja tuone.Ila uyo Ndugu yake moloi kaja Kwa kasi sana
Yani kuingia tu kwenda kwenye pati macho juu ka kinyonga
Halaf kule resta alivyokutana na kotalo tayari mpaka kiss
Mi mwanaume kama huyo hata sishoboki
Kule Kwa hedr kama familia yake itaenda Kenya sioni usalama pale kabisa uku nyuma wanaobaki mm
Yan Wendy anamuwinda shemeji yake kwa hali na maliIla uyo Ndugu yake moloi kaja Kwa kasi sana
Yani kuingia tu kwenda kwenye pati macho juu ka kinyonga
Halaf kule resta alivyokutana na kotalo tayari mpaka kiss
Mi mwanaume kama huyo hata sishoboki
Kule Kwa hedr kama familia yake itaenda Kenya sioni usalama pale kabisa uku nyuma wanaobaki mm
Kwa kweli ngoja tuone siku akikutana na vile vidada vya saluniKwakweli Lefa kaja na papara sana. Si angesoma situation kwanza? Hili la kumparamia Kghotalo,sijui. Ngoja tuone.
Keshatoka na Enhle,Bokamoso kaonekana na kadem kengine. Na Kgothalo kawaona kabisa lakini akakausha. Naona kuna namna kamuelewa jamaa.Kwa kweli ngoja tuone siku akikutana na vile vidada vya saluni
Dah Leo nimeikosaSema katglo ni muhuni Wa kichinichini sana yaan akiguswa tu anagusika..loooh!
Secheba amsamehe Lungi amwambya bado anamuhitaji at BokamosoDah Leo nimeikosa
Wachaaaa ee santeeeSecheba amsamehe Lungi amwambya bado anamuhitaji at Bokamoso
Zandre, Anjya na mama yao wameondoka kuelekea kenya
Charlie amekubali kurudi kazini shebeen
Sibiya anatumia hela zake vibaya shebeen washkaji zake wanamshauri, ila kama unavomjua sibiya (he's crazy old man)
Lefa na Kgothalo wapo on fire, anampa makavu Enhle kuwa alchokuwa anataka kwake ni sex tu, baadaye Lefa anaonekana penthouse akiwa na Kgothalo (baada ya kulala nae)
Lungi ameita waandishi ili kumsafisha Mayor lkn anaingia Gabby Mothusi anaharibu mambo.
Gatanga anamshauri Morongwa amombe msamaha Secheba.
Hendrik bado anamsisitiza wendy awemakini na online dating, wendy anamwambya sku zote anapojaribu kuchukua hatua yeye (Hendrik) ni mtu wa kumkatisha tamaa
Wakiwa rec Lungi anamweleza Secheba kilichotokea anatokea Gabby anaanza kumchokoza Secheba, Secheba anakasirika anampiga ngumi ya uso baada ya kumsema kuhusu Lerato, Gabby anachka kwani amefanikisha lengo lake mbele ya public.
Inasemekana make up is not for everyoneWendy akipigwa make up anakuwa mbibi kabisa sijui hizo kunyanzi huwa zinatokeaga wapi..akiwa hana make up no kunyanzi.