Mimi nimewatch ila kuelezea kimtiririko kama numbisa siwezi jody amethrow part pale sheeben
Gabriel kapigwa mkwala mzito na BraG
Tyson anasoma file la Rajeesh nafikiri anapanga jambo
Level 1 imefunguliwa
Tyson kutaka kujipa presha tu hivi hajiamini au anataka habari gani za mkewe?Mimi nimewatch ila kuelezea kimtiririko kama numbisa siwezi jody amethrow part pale sheeben
Gabriel kapigwa mkwala mzito na BraG
Tyson anasoma file la Rajeesh nafikiri anapanga jambo
Level 1 imefunguliwa
Umepasahau pa Mologwa kunywa na kuwaambia watu wanywe atalipa. Na Nina kumpa vijembe Kamo kwamba akumbuke ana Zamdela tumboniMimi nimewatch ila kuelezea kimtiririko kama numbisa siwezi jody amethrow part pale sheeben
Gabriel kapigwa mkwala mzito na BraG
Tyson anasoma file la Rajeesh nafikiri anapanga jambo
Level 1 imefunguliwa
Nahisi amefake kifo chakeWale wa SABC3..episode ya Leo Barker kafariki
You did your best thanks fella!Rajesh kumwambia mke wa Tyson kwanini hajamwambia mumewe kuhusu past yao,alipiga simu wakati Tyson na mkewe wako hotelini. Tyson alipotoka bafuni akamuuliza mkewe alisikia simu ikiita mkewe akazuga na kusema mtu(jina nimelisahau) alipiga na kumwambia engineers wameenda Russia. But Tyson alionyesha sura ya kudaught.
Kamo alikuwa anaongea baba yake na kumwambia amsamehe kwa kubeba mimba kwa umri ule,na anamuuliza kwanini hajaja au amemkasirikia it seems baba yake alimwambia kamo sio sababu, akamuuliza je ni mama.. Baba akakata simu. Mama yao akatokea kamo akampa vipande vyake na kumwambia badala arudi akayafix na mumewe yupo pale kumwendekeza papa G.
Kule mgodini kumeeandaliwa breakfast ya miners na Nikiwe akawasalimia na katika hao washimba madini kuna mmoja ameraise lalamiko(sikulisikia vzr) Nikiwe akamuuliza Skhu huyo mtu anamaanisha nini Skhu nae hakuelewa wakaipotezea. Gabriel alionekana hapo hana furaha.
Nimejitahidi kuongezea kwa ambazo wenzangu huko huu wameelezea. Am not a good story teller mniwie radhi nilipobugi
Rajesh kumwambia mke wa Tyson kwanini hajamwambia mumewe kuhusu past yao,alipiga simu wakati Tyson na mkewe wako hotelini. Tyson alipotoka bafuni akamuuliza mkewe alisikia simu ikiita mkewe akazuga na kusema mtu(jina nimelisahau) alipiga na kumwambia engineers wameenda Russia. But Tyson alionyesha sura ya kudaught.
Kamo alikuwa anaongea baba yake na kumwambia amsamehe kwa kubeba mimba kwa umri ule,na anamuuliza kwanini hajaja au amemkasirikia it seems baba yake alimwambia kamo sio sababu, akamuuliza je ni mama.. Baba akakata simu. Mama yao akatokea kamo akampa vipande vyake na kumwambia badala arudi akayafix na mumewe yupo pale kumwendekeza papa G.
Kule mgodini kumeeandaliwa breakfast ya miners na Nikiwe akawasalimia na katika hao washimba madini kuna mmoja ameraise lalamiko(sikulisikia vzr) Nikiwe akamuuliza Skhu huyo mtu anamaanisha nini Skhu nae hakuelewa wakaipotezea. Gabriel alionekana hapo hana furaha.
Nimejitahidi kuongezea kwa ambazo wenzangu huko huu wameelezea. Am not a good story teller mniwie radhi nilipobugi
Bora akiwa amefake maana huyu mzee wa mipango! Ananifurahisha sana hatoi kitu bureNahisi amefake kifo chake
Isidingo nimeaingalia miaka mingi sababu ya Barker, na kiburi chake. Akiondoka itapoooza.Bora akiwa amefake maana huyu mzee wa mipango! Ananifurahisha sana hatoi kitu bure
Episode ya Leo...ofentse amekiri kua ni yy ndo alimpiga risasiNahisi amefake kifo chake
Jamani kwanini??Leo tena naimiss isidingo.
Jpili nikiwahi angalia marudio ntaweka updates