Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,461
- 1,448
Duh....wee mhenga....hiyo ni old episode, 3 or 4 years hivi ago.....Barker atampoteza sijui ofense moloi kama yule dokta aliyetakaga kumtoa moyo ha ha ha a ha nakumbuka alimuua alafu maiti yake akaichoma moto hadi polisi walishindwa kuitambua
Jamaa alimteka Barker akamfungia the Duncan amtoe Moyo ambao Barker aliupata through illegal means ukawa transplanted kwake, ulikuwa ni moyo wa ndugu wa yule Dr ambaye alikufa kwa ajali.....nakumbuka yule doctor aliwahi kuwa boyfriend wa Dr Beth McNamara........kitambo