Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,282
- 1,096,070
Nina anamwalika aphiwe home ili kumbembeleza amsamehe obakeng ila aphiwe anakataa kumsamehe obakeng na kumlaumu nina kwa jambo hilo
Calvin anampa shart angie ajitoe kwenye kes ya linc kama kwel anajalo urafiki wao
Matlala analeta wachimbaj geto kwa gaby na kuelewana na gaby kuhusu kazi kisha matlala anawapa nafasi ya mwisho jamaa wajiandae kwa madhara yoyte yatakayotokea mgodin na kwamba asiyetaka ajitoe mapema.jamaa wote wanakubali kazi
Sechaba na calvin wakiwa the rec,sechaba anamwonyesha calvin raman ya nyumba ya thulile,calvin anamwambia sechaba kuwa eddie kakubali kutoa ruhusa kwa wafungwa wa nje kusaidia kisha akasema na kikundi cha aphiwe pia akiongea na aphiwe watasaidia ila sechaba akamwambia aphiwe hayupo vizuri kwa muda huo na kwamba hawez mwambia nn kimetokea bali ataambiwa tu na mhusika
Barker anaenda na jody kwa zamdela house na kuwapa zawadi huku akiwaalika duncan kwa vinywaji,georgie anakubali, baada ya barker kuondoka papa g anamwambia nina si bure barker atakua na shida nao
Obakeng anaenda the rec kutaka kuonana na aphiwe ila skhu anamtimua
Obakeng anaenda kunywa shebeen,mara calvin anatokea na kwenda kuagiza bia na kukaa sehemu nyingine,obakeng anamfata ila calvin anamwanbia anafahamu kuhusu aphiwe hivyo hatak hayo maongezi,obakeng anamwambia haongelei hayo bali ana dili zuri linalomfaa calvin na kumpa muda wa kufikiria.
Tyson anamwita skhu room kwake duncan ili kumpeleleza vizuri apate plan B kama barker atamsalit. Skhu bado hamwamin barker na tyson pia
Lerato na mama ake wanaenda kwa papa g home ila nina anawaambia yupo busy haan muda wa kuongea nao,mama lerato anagoma kuondoka mpaka aongee na papa g. Papa g anatokea na kuanza msifia mama lerato mwanzo mwisho,lerato anajaribu kukumbushia maongez ila papa g anapotezea kwa kumwaga sifa zaidi,lerato anasema hata mumewe(mama mtu)huwa anamsifia.papa g anasema sio vibaya kusifia maua ya bustan kwa jiran.mama lerato anakumbushia topic na kumlaum nina kwa kutaka kamo atoe mimba.papa g anakasirika kwa kitendo cha nina
Tyson na mkewe wakiwa duncan wakipata vinywaj mara rajesh anatokea na kutaka kuongea na katgo masuala ya kibiashara(jina gumu jaman sorry kwa kukosea),tyson wivu tele,bibie anakubali ila rajesh hana cha kuongelea zaidi ya kukumbushia past yao
Nina anaenda duncan kuonana na barker na kugundua barker anataka kuidondosha sg kwa kumtumia obakeng. Nina anaona ni chance nzuri ila anataka offer kubwa zaidi
Calvin anampa shart angie ajitoe kwenye kes ya linc kama kwel anajalo urafiki wao
Matlala analeta wachimbaj geto kwa gaby na kuelewana na gaby kuhusu kazi kisha matlala anawapa nafasi ya mwisho jamaa wajiandae kwa madhara yoyte yatakayotokea mgodin na kwamba asiyetaka ajitoe mapema.jamaa wote wanakubali kazi
Sechaba na calvin wakiwa the rec,sechaba anamwonyesha calvin raman ya nyumba ya thulile,calvin anamwambia sechaba kuwa eddie kakubali kutoa ruhusa kwa wafungwa wa nje kusaidia kisha akasema na kikundi cha aphiwe pia akiongea na aphiwe watasaidia ila sechaba akamwambia aphiwe hayupo vizuri kwa muda huo na kwamba hawez mwambia nn kimetokea bali ataambiwa tu na mhusika
Barker anaenda na jody kwa zamdela house na kuwapa zawadi huku akiwaalika duncan kwa vinywaji,georgie anakubali, baada ya barker kuondoka papa g anamwambia nina si bure barker atakua na shida nao
Obakeng anaenda the rec kutaka kuonana na aphiwe ila skhu anamtimua
Obakeng anaenda kunywa shebeen,mara calvin anatokea na kwenda kuagiza bia na kukaa sehemu nyingine,obakeng anamfata ila calvin anamwanbia anafahamu kuhusu aphiwe hivyo hatak hayo maongezi,obakeng anamwambia haongelei hayo bali ana dili zuri linalomfaa calvin na kumpa muda wa kufikiria.
Tyson anamwita skhu room kwake duncan ili kumpeleleza vizuri apate plan B kama barker atamsalit. Skhu bado hamwamin barker na tyson pia
Lerato na mama ake wanaenda kwa papa g home ila nina anawaambia yupo busy haan muda wa kuongea nao,mama lerato anagoma kuondoka mpaka aongee na papa g. Papa g anatokea na kuanza msifia mama lerato mwanzo mwisho,lerato anajaribu kukumbushia maongez ila papa g anapotezea kwa kumwaga sifa zaidi,lerato anasema hata mumewe(mama mtu)huwa anamsifia.papa g anasema sio vibaya kusifia maua ya bustan kwa jiran.mama lerato anakumbushia topic na kumlaum nina kwa kutaka kamo atoe mimba.papa g anakasirika kwa kitendo cha nina
Tyson na mkewe wakiwa duncan wakipata vinywaj mara rajesh anatokea na kutaka kuongea na katgo masuala ya kibiashara(jina gumu jaman sorry kwa kukosea),tyson wivu tele,bibie anakubali ila rajesh hana cha kuongelea zaidi ya kukumbushia past yao
Nina anaenda duncan kuonana na barker na kugundua barker anataka kuidondosha sg kwa kumtumia obakeng. Nina anaona ni chance nzuri ila anataka offer kubwa zaidi