Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,282
- 1,096,070
Halafu obakeng yupo huru zaidi na furaha akiwa na kamo kuliko aphiwe
Tatizo sio mazingiraa, mimba huingia kwa njia moja tuuu. Sio kwa kujitaka au kunywa maji
Sent using Jamii Forums mobile app