atug
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,604
- 3,082
Thanx sana... Kwa ambao hatujaangali tumepat what's going onLeo imeishia patamu morongwa kaokota pete ya katlego shaft 8 sawa wakawa wanabishana na mltala kuhusu kuireport.
mke wa sizwe kama moyo ushaanza kuangukia kwa pastor. leo kamualika kwenda rec akamnunulia maji kisha kampa mkufu wa thahabu mara mr moloi huyo... ohhh men don take thing from dis pastor.
lerato naye, kamo ameorder sijui tu nini vya rand 40,000 maana yale maandishi ya healing power yaliziba uhondo.
leo niki na boy wake ndani ya sibeko house, kuingia ndani wanakutana na mabishano ya linc na tyson. naye boy wa niki(nimemsahau jina) sasa anamuambia nik kuwa baba yake alidanganya polisi kuhusu katlego kuondoka
niishie hapa maana hii button yangu linasumbua maana natumia nokia tochi yeny net