stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,887
- 4,467
Elezea tu boss wala huboi! Mimi nafurahiaZukisa bana kapewa ushauri mzuri na sechaba,akae mbali na gabriel atamchezea tu ila kamkasirikia mtoa ushauri(ukweli unauma daima)
Napenda mabango ya obakeng kwa nina si ya kitoto,angekua mwingine angeshafukuzwa kilabun zamani.
Naandika huku najishtukia labda naboa wengine kwa kuhadithia huku