Step_Rocker
Senior Member
- Aug 31, 2021
- 197
- 323
My arts
Hongera sana!
Nataraj HB pencil ya 300=/ na ufutio wakeHongera sana!
Umetumia pencil za aina gani?
on going kevin hartIm trying to beat WADUBA yule wapost #1View attachment 1940849
Noma sanaRiteshi mavapuriwalaView attachment 1935834View attachment 1935829
Duh ! Unatumia pencil gani?Im trying to beat WADUBA yule wapost #1View attachment 1940849
Umetisha!!! Hongera sana.Nataraj HB pencil ya 300=/ na ufutio wake
Hapana just hobby tu...hua najipa hasira ya kujiongeza kutoka yuotube nikiokota bando af nikawa na kamuda nachora...Umetisha!!! Hongera sana.
Ulienda drawing school kujua namna ya kushade hivyo?
A piece of art completeIm trying to beat WADUBA yule wapost #1View attachment 1940849
Ni vipi tuambiwe water is colorless?
Bora maji, bado najiuliza hiyo karatas ya plastic ambayo hao watoto wamejifunia imechorwajeNi vipi tuambiwe water is colorless?
hapa tulipigwa. Bora wangesema rangi ya maji ni "nameless"Bora maji, bado najiuliza hiyo karatas ya plastic ambayo hao watoto wamejifunia imechorwaje
,waliotafsiri ndio wameamua iwe hivyo,labda sababu rangi yake haipo kwenye upinde wa mvuaNi vipi tuambiwe water is colorless?
wajinga sana wale.,waliotafsiri ndio wameamua iwe hivyo,labda sababu rangi yake haipo kwenye upinde wa mvua
Umepata mia miaKazi yangu hiyoView attachment 1948994