Mada maalum kwa wachoraji, sanaa ya picha na rangi

Mimi nitoe ombi moja,tena kwa moyo mkunjufu,
Tutumie kurasa hii km sehemu ya kupanuana kuinuana na kuoneshana njia siyo sehemu ya kubishana na kujivuna na kuonesheana umaarufu,
Humu kuna vijana wadogo wanahitaji kufika juu zaidi hata ya tulipo,yafaa tuwaoneshe UHALISIA na njia halisi ya sanaa hii kupitia mazingira na vifaa halisi vinavyopatikana mitaani kwetu,
Kumuonesha mtoto anaejifunza kitu ambacho hata mtaani hakipati ni kumkatisha tamaa na kumvunja moyo,
Tuwaambie kuna picha edited,kuna apps za kuchora na kutengeneza picha,kuna picha halisi za mkono mtupu na rangi ama sketch ya penseli tu,tena penseli hizi hizi za kichina,
Tukiwaambia kuna penseli maalumu ama rangi maalumu ama chochote maalumu ambacho mtaani hakipo tunaua vipaji vyao,km mtaani kiuhalisia tunachora kwa matope,tunachora kwa manyoya ya punda tuwaambie na kuwaonesha,wakivuka hapo watajiongeza kutafuta vifaa ama mbinu za zaidi ya hapo,
A to B siyo A kisha Z
Tuwaoneshe kazi halisi zetu za mikono
Tuwaoneshe njia na changamoto,
Tutakuwa tumetenda haki,na tutakuwa tumerudisha shukrani kwa Mungu aliyetutunuku vipawa hivi,
ni wazo zuri sana mkuu
 
Mimi nitoe ombi moja,tena kwa moyo mkunjufu,
Tutumie kurasa hii km sehemu ya kupanuana kuinuana na kuoneshana njia siyo sehemu ya kubishana na kujivuna na kuonesheana umaarufu,
Humu kuna vijana wadogo wanahitaji kufika juu zaidi hata ya tulipo,yafaa tuwaoneshe UHALISIA na njia halisi ya sanaa hii kupitia mazingira na vifaa halisi vinavyopatikana mitaani kwetu,
Kumuonesha mtoto anaejifunza kitu ambacho hata mtaani hakipati ni kumkatisha tamaa na kumvunja moyo,
Tuwaambie kuna picha edited,kuna apps za kuchora na kutengeneza picha,kuna picha halisi za mkono mtupu na rangi ama sketch ya penseli tu,tena penseli hizi hizi za kichina,
Tukiwaambia kuna penseli maalumu ama rangi maalumu ama chochote maalumu ambacho mtaani hakipo tunaua vipaji vyao,km mtaani kiuhalisia tunachora kwa matope,tunachora kwa manyoya ya punda tuwaambie na kuwaonesha,wakivuka hapo watajiongeza kutafuta vifaa ama mbinu za zaidi ya hapo,
A to B siyo A kisha Z
Tuwaoneshe kazi halisi zetu za mikono
Tuwaoneshe njia na changamoto,
Tutakuwa tumetenda haki,na tutakuwa tumerudisha shukrani kwa Mungu aliyetutunuku vipawa hivi,
Mods wekeni hii comment juu kabisa
 
By my baby girl
IMG-20210227-WA0035.jpg
IMG-20210227-WA0041.jpg
IMG-20210227-WA0019.jpg
 
Hebu nipe ndio ipi hio?
Iko hivi wachoraji huwa wanahudhuria darasa kama tution kabisa.
Mfano dar es Salaam kuna sehem panaitwa mwembeyanga..!
Kuna Organisation inaitwa FASDO (check Instagram yao)
Wanatoa mafunzo bure mara tatu kwa week.
Atafundishwa A to Z kuhusu uchoraji...!
Jinsi ya kutumia aina mbali mbali za penseli (sio zile za kawaida)
Hiyo penseli inachora hadi unadhan ni picha za camera..!
....
Kama ambavo naona ni mtoto bado pengine ratiba itakua ngumu
 
Iko hivi wachoraji huwa wanahudhuria darasa kama tution kabisa.
Mfano dar es Salaam kuna sehem panaitwa mwembeyanga..!
Kuna Organisation inaitwa FASDO (check Instagram yao)
Wanatoa mafunzo bure mara tatu kwa week.
Atafundishwa A to Z kuhusu uchoraji...!
Jinsi ya kutumia aina mbali mbali za penseli (sio zile za kawaida)
Hiyo penseli inachora hadi unadhan ni picha za camera..!
....
Kama ambavo naona ni mtoto bado pengine ratiba itakua ngumu
Ok.

Yeye yupo shule anaanza advance sasa....muda itakua issue inabidi mpk kumaliza.

Nina nia hasa ya kumuendeleza
 
Back
Top Bottom