Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,914
Kwenye sanaa ya michoro na uchoraji AI imefeli vibaya sana. Ama niseme wasanii na wasanifu wake ndio wamefeli kwakuwa picha zao nyingi hazivutii, hazina mafunzo hazina ubunifu na karibia zote zina mwonekano mmoja kukimbia ama kufukuzana, kukenua, kucheka nknk.
Naweka mlolongo wa picha tujionee
Sent using Jamii Forums mobile app
Naweka mlolongo wa picha tujionee
Sent using Jamii Forums mobile app