Ngoja nikupe kitu kitakusaidia Kaka!Kuna jamaa yangu ni bingwa wa kuchora picha za vinyago(tingatinga)nk lkn ukimpa picha hata ya paka anashindwa,lkn na yy huwa anapeleka sana nje kazi yake ya kuchora picha za vinyago,kumbe kwenda kuonesha kazi nje siyo kujua usahihi wa kuchora picha halisi,
Picha Kama hiyo mdau ndo anasema Edit...?
Picha Kama hiyo mdau ndo anasema Edit...?
Hajui Ulaya kuna mtu anazaliwa na kipaji cha Uchoraji, anaenda Shule za Uchoraji, anakua mpaka na PhD ya Uchoraji huwezi kushindana nae kwa fine art........
Ndo maana Hakuna fine art painting za ki africa zinazouzika nje zaidi ya Tingatinga and other Abstract artwork, Wildlife, Knife paknting n. k
Picha Kama hiyo mdau ndo anasema Edit...?
Hajui Ulaya kuna mtu anazaliwa na kipaji cha Uchoraji, anaenda Shule za Uchoraji, anakua mpaka na PhD ya Uchoraji huwezi kushindana nae kwa fine art........
Ndo maana Hakuna fine art painting za ki africa zinazouzika nje zaidi ya Tingatinga and other Abstract artwork, Wildlife, Knife paknting n. k
Mwacheni Mungu aitwe Mungu
Jamaa Hana viganja lakini anachoraView attachment 1094991
Hakuna ujanja,Good
Hii ni picha halisi ya mkono na penseli,siyo hayo mapicha yanafanyiwa ujanjaujanja halafu mnaita kazi ya mkono,
Una hakika huu ni mkono mtupu na haijapitishwa popote kuirembesha na kuiedit?,
Tunataka picha za mkono halisi
Picha nyingi zinazoletwa humu ni edits tu,siyo pensilskerch halisi,yaani penseli mkono kifuto na canvas ama karatasi,
Sijasema picha zote ni edits,lkn zilizo nyingi ni edit,kwa asiye mchoraji hawezi jua yy ataishia kukodoa tu,ipo hivi ukitaka kujitangaza unachofanya unapiga picha kazi yako,ama clip kisha una iedit,unaing'arisha na kuikolezea vivuli na ming'ao,unaiondole kunyanzi,inaonekana smooth,unaweza shangaa picha uliyoletewa humu ukikutana nayo kwa macho ukashangaa,
Computer imerahisisha sana mambo,
Kuna picha najaribu hapa kuileta humu ikiwa halisi niliyochora ya mkono,penseli za kawaida,kifuto na canvas,halafu hiyo hiyo nataka niifanyie mautundu niilete nayo humu ili uone tunachofanyaga
Mchoraji hawezi kuongea maneno hayo kama mtu asiye na kipaji cha Uchoraji ......
Ina maana hujawahi kuona Youtube au Facebook artist wakubwa wakichora live picha za Kalamu ya Wino, Penseli au Rangi?
Hujawahi kuona still pictures za artist zikionyesha steps by steps alivyoanza kuchora mpaka kumaliza?
Hiyo picha hapo juu ya Mchekeshaji Black America inaonyesha hata kukamilika bado, unaona upande mmoja wa jicho haujakamilika.....inaonyesha kazi inaendelea.....
Unapozungumza ku edit unazungumzia nini? Kuchora kupitia Computer program ama?
I'm fine art painting artist pia, sio tu nauza kazi zangu nje mpaka sasa but nimekaa nje nikichora na kushikiriki exhibitions tofauti!
Trip moja nilipeleka kazi kuuza nje, ilikua Capetown kuna sehemu inaitwa Sea view, nilimkuta Nigerian artist anawachora watu kwa Penseli vile vile, just for 10 mins kamaliza, watu wamepanga foleni, japo ni artist nilikubari kuwa jamaa uwezo wake ulikua juu.
Mkuu usishangae artist akifanya kitu kile huwezi fanya ukasema sio kazi ya mkono na Penseli, tumetofautiana Vipaji .