Na walipoteuliwa akina Hoyce Temu pia mulipiga kelele. Binaadamu hamuna wema kabisa!Kuna wakati huwa najiuliza,hivi hizi nafasi haupo uwezekano wa kupewa nje ya wale waliokwisha kaa kwenye ajira rasmi?
Kwa sababu binadamu ni wengi.Na walipoteuliwa akina Hoyce Temu pia mulipiga kelele. Binaadamu hamuna wema kabisa!
Mkuu, hata akipewa wa nje atapewa mtu mwenye kitu. Rejea someone kutoka HSC kipindi cha Jei Kei. Nadhani alipewa ubalozi wa heshima UAE ila nadhani ni huko mashariki.Yeah acha watu wale maisha,ametoka kwenye kitengo amepelekwa kwenye kitengo wewe mtoto wa maskini uliyesoma kwa kuuzwa shamba la ukoo kawe chinga mtaani ukikutwa na migambo ukamatwe ukalipe faini ili walio kwenye vitengo wazidi kuneemeka.
Kuna wakati huwa najiuliza,hivi hizi nafasi haupo uwezekano wa kupewa nje ya wale waliokwisha kaa kwenye ajira rasmi?
Swali sahihi lilitakiwa liwe, hivi tukiachana na uchaguzi hakuna namna ya kuwatoa hawa viwavi kwenye system??Yeah acha watu wale maisha,ametoka kwenye kitengo amepelekwa kwenye kitengo wewe mtoto wa maskini uliyesoma kwa kuuzwa shamba la ukoo kawe chinga mtaani ukikutwa na migambo ukamatwe ukalipe faini ili walio kwenye vitengo wazidi kuneemeka.
Kuna wakati huwa najiuliza,hivi hizi nafasi haupo uwezekano wa kupewa nje ya wale waliokwisha kaa kwenye ajira rasmi?
Dah hilo jina Ali kama ni ndugu yake basi Kobaaz mwengine kalamba teuzi. Mama mkumbuke ndugu yetu Pascal Mayalla hata tu mjumbe kwenye bodi ya maziwa.Mteuliwa hana undugu na Ali Moshi Tembele?
Kaka yake na Ali Mayayi TembeleHilo jina nina mashaka kama ni mtanzania