Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,480
Siyo hata, especially mikataba ya silaha.Hata mikataba silaha?
Mimi nina rafiki yangu baba yake alikuwa Katibu Mkuu wizara ya Ulinzi.
Madudu yanayoendelea huko yanatisha, na huwezi kuyajua, kwa sababu ni "state secret".