Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Wewe kwa ujinga wako unajua hiyo miradi yote umeitekeleza mwenyewe? Huna haya kuwaza hivi? Eti tunaitekeleza wenyewe, pimbi sana wewe.

Bwawa la umeme la Nyerere umetoa hela zako na unajenga na suma JKT?

Hizo ndege ulizonunua kwa cash ulitumia hela ulizodhulumu kwenye korosho? Au ni kodi uliyokata waalimu kwenye mishahara. Unajua deni la Taifa limefika ngapi sasa hivi?

Kuna siku mkataba wowote wa mradi mkubwa uliwahi kuwekwa hadharani au hata kupelekwa bungeni kujadiliwa? Hujiulizi ni kwanini?

Anyways, jumapili njema usinipotezee mudi yangu ya weekend bure.
Nadhani bado unaendeleza upumbavu wa kutoelewa. Hiyo miradi iwe tumekopa au tunatumia fedha zetu wenyewe, lakini hatuna ubia na mtu, ni ya kwetu asilimia 100 Ndicho nachoomanisha. Lakini mradi wa Bagamoyo tupo na wachina na wa oman, nao wanakua ni wamiliki wa hiyo Bandari.
 
Wapi uliona mchina anang'ang'ania mradi??? Mchina ashaitwa Mozambique akafanye kama huu, ni JUKUMU LA Taifa letu kuwawahi wachina tukae nao chini tuyajenge, tusije tukapoteza hii fursa. Na ujue sio mchina tu ndo yupo kwenye huu mradi, Oman pia wapo. Acheni propaganda. Dubai ilianza hivi hivi. Mbona hamlalamiki kigogo busisi na chato airport??

Wewe ndo hujui. Mchina anahangaika kutwa kucha na Bagamoyo, ameshafanya lobbying za kutosha. Hiyo Mozambique ni subsidiary tu lakini bagamoyo ndo strategic. Halafu hiyo busisi unayoiongelea ni miradi yetu tofauti na huu Bagamoyo ambayo tunakwenda kuingia ubia na nchi nyingine. Hakuna mtu anaukataa huu mradi, isipokua masharti yake ndo yanaukakasi.
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.

Hapa ni pdf guy akijaribu kutazama umuhimu wa Bahari kwa sisi watz. Nimemuelewa sana huyu jamaa.

Hapa pia kuna video ya Magufuli akijaribu kuweka dondoo ya nini kilichomo kwenye Mkataba wa Bandari ya Wachina (Bagamoyo).

Kuna uzi pia Lowassa akisema huu mkataba atauvunjilia mbali huko.

Huenda watanzania Mungu amewakataa hapa Duniani na hata Mbinguni. Endeleeni kumuuliza Mungu Kwa upole na unyenyekevu mkubwa sana.

Kwenye Madini tumepotezwa. Hayati JK Nyerere aliwahi kusema Madini tusichimbe hadi tuwe na uwezo wa kuhakikisha yanatunufaisha, hatukusikia na sasa kila mtu anajua kinachoendelea kwenye madini.

Gesi imepigiwa kelele nyingi haijawahi kutokea lakini kila mtu anajua kinachoendelea na gesi kwa wananchi wa kawaida. Ndio ardhi yetu inaondoka hivyo wazee.

Hizi ni nyakati za kujikabidhi mbele za Mungu kila mmoja kwa imani yake. Tumekwisha, muda si mrefu hili litabainika. Hakuna ajira, watu hawana hela, maisha magumu hakuna matumaini tena.

Mungu uturehemu.
Mwarobain wa malalamiko yako sio kelele ni kudai katiba mpya
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.

Hapa ni pdf guy akijaribu kutazama umuhimu wa Bahari kwa sisi watz. Nimemuelewa sana huyu jamaa.

Hapa pia kuna video ya Magufuli akijaribu kuweka dondoo ya nini kilichomo kwenye Mkataba wa Bandari ya Wachina (Bagamoyo).

Kuna uzi pia Lowassa akisema huu mkataba atauvunjilia mbali huko.

Huenda watanzania Mungu amewakataa hapa Duniani na hata Mbinguni. Endeleeni kumuuliza Mungu Kwa upole na unyenyekevu mkubwa sana.

Kwenye Madini tumepotezwa. Hayati JK Nyerere aliwahi kusema Madini tusichimbe hadi tuwe na uwezo wa kuhakikisha yanatunufaisha, hatukusikia na sasa kila mtu anajua kinachoendelea kwenye madini.

Gesi imepigiwa kelele nyingi haijawahi kutokea lakini kila mtu anajua kinachoendelea na gesi kwa wananchi wa kawaida. Ndio ardhi yetu inaondoka hivyo wazee.

Hizi ni nyakati za kujikabidhi mbele za Mungu kila mmoja kwa imani yake. Tumekwisha, muda si mrefu hili litabainika. Hakuna ajira, watu hawana hela, maisha magumu hakuna matumaini tena.

Mungu uturehemu.
Wewe ulishawahi kuiona mikataba ya kununua ndege?
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.

Hapa ni pdf guy akijaribu kutazama umuhimu wa Bahari kwa sisi watz. Nimemuelewa sana huyu jamaa.

Hapa pia kuna video ya Magufuli akijaribu kuweka dondoo ya nini kilichomo kwenye Mkataba wa Bandari ya Wachina (Bagamoyo).

Kuna uzi pia Lowassa akisema huu mkataba atauvunjilia mbali huko.

Huenda watanzania Mungu amewakataa hapa Duniani na hata Mbinguni. Endeleeni kumuuliza Mungu Kwa upole na unyenyekevu mkubwa sana.

Kwenye Madini tumepotezwa. Hayati JK Nyerere aliwahi kusema Madini tusichimbe hadi tuwe na uwezo wa kuhakikisha yanatunufaisha, hatukusikia na sasa kila mtu anajua kinachoendelea kwenye madini.

Gesi imepigiwa kelele nyingi haijawahi kutokea lakini kila mtu anajua kinachoendelea na gesi kwa wananchi wa kawaida. Ndio ardhi yetu inaondoka hivyo wazee.

Hizi ni nyakati za kujikabidhi mbele za Mungu kila mmoja kwa imani yake. Tumekwisha, muda si mrefu hili litabainika. Hakuna ajira, watu hawana hela, maisha magumu hakuna matumaini tena.

Mungu uturehemu.
Mbn kama nayeye mwenyew Samia alikuepo inamaana Yale madini mzee aliyoyatoa yalipita skio moja kutokea sikio jingine
 
Back
Top Bottom