Fahari ya macho ! Aifilisi duka....!! Nayashang'aa macho kupenda visivyo vyake...Nachukiaga hiyo tabia. Ila ndio hivyo huwa sina jinsi saa nyingine zaidi ya mie kugeuza shingo yangu nami nisome tangazo.
Ila wanaume kwa shingo feni mungu anawaona jamani. Khaa.
Cheka tu mkuu saa nyingine hakuna jinsi.Usinichekeshe aisee
Ndio hapo sasa.Fahari ya macho ! Aifilisi duka....!! Nayashang'aa macho kupenda visivyo vyake...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha nilishaachaga ushingo feni mda sana saiv nikipishana na zigo naishia kukemea tuInaonekana mkuu wewe ni mgeuza shingo mzuri sana. Daah
Kwani mpaka muangalie mkuu.
Aisee. Hiyo nzuri mkuu.Hahaha nilishaachaga ushingo feni mda sana saiv nikipishana na zigo naishia kukemea tu
Hahaaa. Aisee. Pole sana.Kwa kiasi kikubwa wanawake ndo waonasababisha wanaume tuvunje shingo kwa mavazi wanayovaa kwa sasa. Kuna mdada mmoja kidogo anisababishie kilema ilibaki kidogo nitumbikie kwene mtaro kwa kuangalia chuguu lake lilivyokuwa latikisika. Hahaaa
Hahaha si umeona tusivyo na ubaguzi hata uwe na kijimsambwanda tunakuzoom tu ili mradi uwe slow motionYaani wanaume sijui tuwaweke fungu gani mana. Mi ningemvuta na wala asingeendelea kuangalia.
Hahaha mkuu utatamanije kitu unachokimiliki?Fahari ya macho ! Aifilisi duka....!! Nayashang'aa macho kupenda visivyo vyake...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa. Sitaki mieee. LolHahaha si umeona tusivyo na ubaguzi hata uwe na kijimsambwanda tunakuzoom tu ili mradi uwe slow motion
Hahaha mwite emmyta aje aone tusivyokua na ubaguzi kwenye xray.chek jamaa anavyotabasam
Kuna wakati unakuta linapita TANGAZO alafu uko na wife kwenye gari, unaishia kusomea kwenye side mirrors !! utafanyaje sasa ndio tulishaumbwa wanaume....!! Hapana chezea matangazo wewe...Hahaha nilishaachaga ushingo feni mda sana saiv nikipishana na zigo naishia kukemea tu
Unadhani tunapenda basi samtaims macho nayo yanakuwa na udadisi na shauku ya kujua zaidi,mhenga aliyesema macho hayana pazia hakukosea,unajikuta tu ushageuka hata kama uko na waifu.Kwani mpaka muangalie mkuu.
Nawaona tu hata hamuoneani wivu. Aisee.Hahaha mwite emmyta aje aone tusivyokua na ubaguzi kwenye xray.
Yupo atakuwa ameshaonaHahaha mwite emmyta aje aone tusivyokua na ubaguzi kwenye xray.
Usiogope bhana ukiona tunaangalia sana unakuta tunajiuliza "hivi njia ya kwenda Mbinguni si nyembamba sasa yeye na hili zigo lote atapitaje?" Tunaishia kutikisa kichwa na kuendelea na safari