KYALUMUKUNZA
Senior Member
- Aug 19, 2012
- 145
- 28
inamana kova hajui kama huyu jamaa anakula bange
kova=tbs=mmea
inamana kova hajui kama huyu jamaa anakula bange
Nilidhani ni gongo peke yake ndio inayochakaza mwili kumbe hata :bange:
Sidhani ni bangi. Ninachokiona mimi ni Ngwea na kumbukumbu za machungu aliyowahi kumgusa katika maisha!.
Amina................mie huyo mama tu jamani, yaani nikimuona nasisimkwa mwili,Mungu ampe nguvu kwa kweli.
Mkuu tangu lini mboga za majani zikachakaza mwili?
Heh. Upo? Nikajua ume-rip na ngwear!
Mboga zipi zinachakaza mwili kwani?
Vin Diesel umetisha mwana waneMie ndio M 2the P.....niliponea chup chiz.....
Mie najua mboga za majani zaleta nuru kwenye mwili sasa nashangaa Bujibuji anasema baba Tunda kachakazwa na 'majani'
Mbona hamuongelei pombe na wabongo kibao wanapombeka kinoma na kusababisha ajali nyingi barabarani bange bange
Mkuu hapa Bangi imehusika.... Kama umaarufu wenyewe ndo huu sijui?