Macho ya BANGE au Uchungu wa NGWEA? Tuongee ukweli

Macho ya BANGE au Uchungu wa NGWEA? Tuongee ukweli

Hivi sheria za vilevi havimkamati mwenye dalili zote za utumiaji wa madawa ya kulevya kama Bangi,Unga,Mrungi na mvuta bangi?...
He he heee! Hii ya dalili kumfanya mtu akamatwe nimeipenda!
 
Enyi wadanganyika bange haina madhara yeyote, huyu bwana Ramadhani Msindi atakua tatizo lake binafsi la ugonjwa wa macho au lishe-duni/
 
mbona naona mchozi unamtoka,,. Jamaa alikuwa analia bwanaaa
 
Mkuu huwezi amini kina mox na wengne walienda kuchukua mwili wa ngwair muhimbili wakiwa chakari.
Inasikitisha sana... Sijui wamekosa discipline au ni kutokujua? Nadhani wanasahau wanatizamwa na watu wengi atleast wangeonyesha respect kidogo. Wasanii wetu wanajisahau sana ndo maana mwisho wa siku financially wanabaki weupeeeee......
 
Back
Top Bottom