MDAU JR
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 451
- 82
Ameharibika sana huyu mama! Huko nyuma hakuwa hivyo. Nikikumbuka alivyoshiriki vizuri kwenye tume ya Mwakyembe, siamini!
Mkuu lazima abadilike, umeona m/kiti wake wa hiyo tume alivyofanywa, chezea LIWALO NA LIWE gavamenti wewe!