johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Spika wa Bunge Dr Tulia amewataka Watanzania na wale waliokwisha badili uraia wanaoishi nje ya Nchi waache kumuongelea Rais Samia kwa Lugha isiyofaa au kumtusi
Spika Tulia amesema Dr Samia ni Rais wa JMT hivyo ni lazima aheshimiwe
Spika amesema utovu huo wa Nidhamu wa baadhi ya Watanzania walioko nje hauwasaidii lolote na wakumbuke kuwa wao ni Watanzania hata huko waliko
Source: TBC
Spika Tulia amesema Dr Samia ni Rais wa JMT hivyo ni lazima aheshimiwe
Spika amesema utovu huo wa Nidhamu wa baadhi ya Watanzania walioko nje hauwasaidii lolote na wakumbuke kuwa wao ni Watanzania hata huko waliko
Source: TBC