Nafikir wewe ndio ulikuwa humjui vizuri.. Huyu aliharibika zamani na ile Tume ya Mwakyembe ilikuwa vita vya Makundi tu. Umesahau alivyoropoka kuhusu Mke wa Dr Slaa?Ameharibika sana huyu mama! Huko nyuma hakuwa hivyo. Nikikumbuka alivyoshiriki vizuri kwenye tume ya Mwakyembe, siamini!