GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Niliusikia msamiati "bwana shamba", tokea utotoni, lakini mpaka sasa sina uhakika kama nilishawahi kukutana nao, hasa walio katika ajira.
"Madakatri" wa mifugo nimewaona. Na hata mabwana shamba wastaafu, lakini si aliyepo kazini Serikalini.
Najua kila mwaka kuna wahitimu katika tasnia ya kilimo, na wengine huishia kuajiriwa Serikalini kama Mabwana Shamba!
Huwa wanafanya kazi gani? Wanakaa tu ofisini?
Kwa nini wasiwe wanawatembelea wakulima mashambani?
Au, kuwa bwana shamba hakuhusiani na maisha ya shamba?
"Madakatri" wa mifugo nimewaona. Na hata mabwana shamba wastaafu, lakini si aliyepo kazini Serikalini.
Najua kila mwaka kuna wahitimu katika tasnia ya kilimo, na wengine huishia kuajiriwa Serikalini kama Mabwana Shamba!
Huwa wanafanya kazi gani? Wanakaa tu ofisini?
Kwa nini wasiwe wanawatembelea wakulima mashambani?
Au, kuwa bwana shamba hakuhusiani na maisha ya shamba?