Mkuu Kichuguu, heshima mbele!
Kila mtu anataka chakula kiuzwe katika hali ya usafi. Kama ni issue ya ku improve standards kwenye maduka ya kuuzia nyama ni sawa tu, watoe maelekezo, mathalan nyama iuzwe kwenye transparent cold shelves nk. Lakini kwenye supermarkets? ziko ngapi Dar peke yake? Iringa ipo moja nayo ni mini super market.
Anataka watu wakapange foleni kilomeata 8 huko kununua nyama?
Tanzania ni ya 3 Afrika kwa kuwa na mifugo mingi. Lakini yeye kama waziri wa mifugo, hadi sasa hajafanya lolote la maana kuiweka Tanzania nafasi ya juu katika meat exports...tunashindwa hata na Namibia, nchi yenye mifugo michache lakini inaongoza kwa meat exports.
Wanakazana kuza machinjio, wameuza Tanganyika Packers, sijui wanataka hii nchi iweje?
Kwa maagizo haya yasiyoweza kufikirika, Kuna siku tutaamka tutajikuta tumeuzwa wananchi na nchi nzima...tunakutana na wawekezaji toka Ufaransa watatuambia "OOOh, aah, sasa nyie mmeuzwa kwa Ufaransa inabidi muanze kuongea Kifaransa sasa..." KUna mambo kweli yanaweza kufanyika Tanzania tu. Mungu Tusaidie waja wako. Tunaangamizwa na watu wako.
Kila mtu anataka chakula kiuzwe katika hali ya usafi. Kama ni issue ya ku improve standards kwenye maduka ya kuuzia nyama ni sawa tu, watoe maelekezo, mathalan nyama iuzwe kwenye transparent cold shelves nk. Lakini kwenye supermarkets? ziko ngapi Dar peke yake? Iringa ipo moja nayo ni mini super market.
Anataka watu wakapange foleni kilomeata 8 huko kununua nyama?
Tanzania ni ya 3 Afrika kwa kuwa na mifugo mingi. Lakini yeye kama waziri wa mifugo, hadi sasa hajafanya lolote la maana kuiweka Tanzania nafasi ya juu katika meat exports...tunashindwa hata na Namibia, nchi yenye mifugo michache lakini inaongoza kwa meat exports.
Wanakazana kuza machinjio, wameuza Tanganyika Packers, sijui wanataka hii nchi iweje?
Kwa maagizo haya yasiyoweza kufikirika, Kuna siku tutaamka tutajikuta tumeuzwa wananchi na nchi nzima...tunakutana na wawekezaji toka Ufaransa watatuambia "OOOh, aah, sasa nyie mmeuzwa kwa Ufaransa inabidi muanze kuongea Kifaransa sasa..." KUna mambo kweli yanaweza kufanyika Tanzania tu. Mungu Tusaidie waja wako. Tunaangamizwa na watu wako.