Ishu zingine ndogo ndogo kama hizi mnaletaje hapa jukwaani?
Kama dogo anamuda wa kukaa jikoni na shemeji yake huyo bro akodishe fremu mtaa wa mbali huko dogo awe anashinda anauza maziwa na mboga mboga huko
Akitoka huko anarudi kachoka na atamkuta bro naye kesha rudi