Mabraza wa enzi hizo Dar kumbukumbu zangu

Mange mwenyewe si alikua masaki enzi zile kwa akina braza Ipyana????
Kama nilikua namuonaona kule kwa babu John!!
Yeah.

Ipy is another one. Alitusumbua sana Coco Beach anakuja na Benz akipiga nyimbo za The Notoriius BIG.

Ipy akirudi lazima mtangaziwe Clouds Disco "Ipy is in the house". Alikuwa anawaletea kina Joseph Kusaga records nyingi sana za muziki, akimpa Bonny Luv moja, anampa na Joseph Kusaga ileile.

Basi walijuwa wanamfagilia sana.
 
Yeah.

Ipy is another one. Alitusumbua sana Coco Beach anakuja na Benz akipiga nyimbo za The Notoriius BIG.

Ipy akirudi lazima mtangaziwe Clouds Disco "Ipy is in the house". Alikuwa anawaletea kina Joseph Kusaga records nyingi sana za muziki, akimpa Bonny Luv moja, anampa na Joseph Kusaga ileile.

Basi walijuwa wanamfagilia sana.
Afu anagawa hela kama karanga...bro alikua na vurugu....hasa kwenye ile bar kule juu CBE
Braza Bon alikua anaumwa kipindi flan.....hadi akapumzika udj niliambiwa ila sina uhakika.
 
Afu anagawa hela kama karanga...bro alikua na vurugu....hasa kwenye ile bar kule juu CBE
Braza Bon alikua anaumwa kipindi flan.....hadi akapumzika udj niliambiwa ila sina uhakika.
Yupo,

Anafanya kazi zake mwenyewe siku hizi.
Kuna kipindi niliongea naye mwaka huu. Nikakumbuka mengi sana.

Eti kawa bonge la mkaka mwenye hekiima. Alikuwa mgomvi yule Upanga, yani yule mtu mgomvi, ugomvi si wake anaingilia mpaka unakuwa wake 🤣🤣🤣
 
Daah, yule jamaa yuko Korea?

Sijamuona siku nyingi sana. Yule mshikaji wangu kinoooma. Nilikuwa najiuliza yuko wapi siku hizi?

Yule jamaa ukimpeleka kokote ana shine tu.

Halafu unavyosema aligombea ubunge sawasawa ndiyo zake, yule popote lazima atake uongozi hata shule alikuwa anapenda sana ukiranja kiranja hivi.
Hahaha ha yupo Korea now pia anashine tu na anasema anataka kujenga chuo,kumbe ni mnyamwezi kitambo sana
 
Mnawakumbuka hawa mabraza madj
ma3.jpg
???
Na huyu breaker dancer bingwa wa mtindo wa roboti????
 
Back
Top Bottom