Maboresho ya JF - 2019

Maboresho ya JF - 2019

Siku CHACHE zijazo 🙂

Some years back, ilikuwa ukiwa kwenye thread fulani kwa chini unaona threads kadhaa ambazo zinafanana na hiyo.

Hivyo kama kuna kitu ulikuwa unatafuta na haujapata jibu unaweza kuclick thread iliyowekwa kwa chini, ni zaidi ya miaka miwili sasa hiyo kitu haipo. Nakumbuka niliwahi kuiulizia mkairudisha kwa siku chache tu.

Fanyieni kazi hiko kitu mkuu, kinasaidia sana kama kuna taarifa unatafuta.
 
Hapo nashukuru maana wengine bila JF ni sawa na kuwa kwenye msiba. Siwezi ishi bila hii kitu. By the way badala ya ignore unaonaje mkaweka block? Mkiblock watu hapa itapendeza. Wengine vikongwe tunatukanwa na vijukuu bila sababu.
mkuu watakusikia
 
Wakuu,

Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.

Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.

Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.

Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.

Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.

Mkuu usisahau kutuwezesha kuedit vichwa vya nyuzi pamoja na kufuta uzi mtoa mada aweze kufuta point ya mchangaije au kublock

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poa injinia. Tumeisoma hiyoo. Ila pia tangu mtoe vile vi emoj vya zamani, matumizi ya emojia mpya yamepungua sanaaa. Ni kama vile watu wamevisusa hivi vi emoji vipya. So ni bora m-bumbe vi emoji vingine au mrudishe vile vya zamani!
 
Hapo nashukuru maana wengine bila JF ni sawa na kuwa kwenye msiba. Siwezi ishi bila hii kitu. By the way badala ya ignore unaonaje mkaweka block? Mkiblock watu hapa itapendeza. Wengine vikongwe tunatukanwa na vijukuu bila sababu.
Wazo nilotaka kulitoa pia, hili linatakiwa walifanyie kazi. Yaani ukimblock mtu asikuone wala usimuone kabisaa ndani ya hili jukwaa.
 
Ok ubarikiwe mkuu katka kujenga taifa hil la vijana.....
Nna #Ombi mkuu juu ya kuungwa kwenye jukwaa la #WAKUBWA
Ntashukuru sana kam nikiungwa hko mkuu....!
Na mung akubark sana
Wakuu,

Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.

Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.

Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.

Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.

Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.

°•°Faith •Hope •Charity•°•
 
Back
Top Bottom