Mzee babaWakuu,
Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.
Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.
Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.
Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.
Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.
Mara elfu kitufe cha Like kisiwepo.lakini Cha Dislike kiwepoWakuu,
Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.
Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.
Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.
Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.
Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.
Kuna tatizo la kutopata natification mkuu hili pia liangaliwe.Hapana, huduma haitasitishwa. Ikitokea hata hutoweza notice (maximum 5min)
Mkuu bora mfanye kama mimi jf yangu vi imoji havipo bora mviweke peupe kama watsap.Wakuu,
Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.
Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.
Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.
Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.
Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.
Hapana, huduma haitasitishwa. Ikitokea hata hutoweza notice (maximum 5min)
Mkuu Ukifika Uchaguzi Tegemea Hilo, Hata wakiboresha vipi, Wakishindwa kuishambulia JF watalazimisha kufuta zile nyuzi ambazo kwao zitakua hawazipendi kuziona... Tegemea Hilo kutokea Hilo kwa asilimia 98.Muiweke strong dhidi ya mashambulizi ya mtandaoni.
Maana mwakani uchaguzi mkuu, na kama unavyojua hakuna ITV, Star Tv wala taarifa za habari, hivyo JF ndio chanzo pekee kikuu cha habari kwa tulio wengi.
Mdumu sana!
Wakuu,
Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.
Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.
Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.
Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.
Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.
This time tupo fit, wanakaribishwa hata sasa!Nashauri maboresho yafanyike tena 2020 September mwishoni maana wale jamaa wakipiga DDoS zao huwa hatuponi
Kumbuka Uchaguzi 2015
Maandamano ya Mange
Walifanikiwa kutuzima hewani..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitapunguza maneno ya shombo yanayotusababishia ban mara kwa mara!Mmh hapana kitatumika vibaya
Jr![]()
Hapana hii ni maboresho na pengine yatafanyika usiku sio kama ule uvamini wa wakati ule
Jr![]()