Maboresho ya JF - 2019

Maboresho ya JF - 2019

Wakuu,

Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.

Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.

Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.

Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.

Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.
Mzee baba
Naomba usisahau kuweka jukwaa la VIUMBE HAI na HADITHI NA SIMULIZI
 
Wakuu,

Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.

Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.

Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.

Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.

Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.
Mara elfu kitufe cha Like kisiwepo.lakini Cha Dislike kiwepo

msisahau
Shida tunazozipata za ku Subscribe nyuzi yani sometimes hata uki View au ku like et unaunganishwa nao hiyo Inaboaaa

Uwezekano wa kuwepo na Thems tofauti,mtu uwe unajichangulia cyo mnatuchagulia Mara muweke blue Mara Nini, HAPANA them ziwe tofauti tofauti.

Then mfanye modify kwenye ku log in account mbili tofauti kwenye device 1.
hiyo nayo ni kero,

mwisho,mkiwa na maboresho ya ghafla muwe mna tu notify hata kwa emali zetu kuliko kutuachia presha

hhhh Mambo mengi mengineyo watachangia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.

Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.

Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.

Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.

Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.
Mkuu bora mfanye kama mimi jf yangu vi imoji havipo bora mviweke peupe kama watsap.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muiweke strong dhidi ya mashambulizi ya mtandaoni.

Maana mwakani uchaguzi mkuu, na kama unavyojua hakuna ITV, Star Tv wala taarifa za habari, hivyo JF ndio chanzo pekee kikuu cha habari kwa tulio wengi.

Mdumu sana!
Mkuu Ukifika Uchaguzi Tegemea Hilo, Hata wakiboresha vipi, Wakishindwa kuishambulia JF watalazimisha kufuta zile nyuzi ambazo kwao zitakua hawazipendi kuziona... Tegemea Hilo kutokea Hilo kwa asilimia 98.

Hii inanipa picha kutokana na wakubwa wanavyotutawala na Chama Chao.
 
Wakuu,

Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.

Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.

Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.

Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.

Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.

Mkuu, nimeshatuma ombi uniunge JUKWAA LA WAKUBWA lakini ukani-ignore hukunipa hata jibu mkuu.

Kama kuna malipo ya kulipia sema basi nilipie uniweke huko, mambo mengine tunahitaji ku-share sio vizuri kufungua threads kwenye majukwaa ya kawaida kiongozi.

Natumai unafanyia kazi ombi langu mkuu. Na naomba kujua nikihitaji kuwa na rank kama gold au platinum member naomba taratibu zake na malipo yanakuwaje please.

Natanguliza shukran kwenu. Thanks.
 
Back
Top Bottom