Kila mwanamke ana 'kovu' Hahaaaa
Nna dawa ya kufuta kovu..uje basi
miss u........
Hahahaaa...nina makovu miguuni hatari, manake nlikuwa kutwa kupigana na kaka yangu, yani kanibutua sana....halafu siku hizi anajifanya ananipendaaaa.....
yeerrr ninayo looo
Hahahaaa...nina makovu miguuni hatari, manake nlikuwa kutwa kupigana na kaka yangu, yani kanibutua sana....halafu siku hizi anajifanya ananipendaaaa.....
ntakuja na rafiki angu nayeye analo...
Amekua ,,,, na anakupenda kweli.
Kim nichek kweny chaulaj2@gmail.com
Ha ha ha ha.....Kweli, ananipenda sanaaa, halafu kafanana sana na baba basi ndo namuita baba mlezi...
Sasa cha kufurahisha amesomea udaktari, kuna siku akanambia atanifanyia surgery kuondoa haya makovu...nilibaki nashangaa...
Ila kunipiga kanipiga sana jamani, na hivi me mjeuri, na nina mdomo basi mwenzangu haongei ni kipondo tuu....
Hahahaaha.
Sina!
Might be true. I used to have one beneath my left booby... lost touch growing up if you know what I mean. Lols.more than one i bet hahaa
Hahahaaa...nina makovu miguuni hatari, manake nlikuwa kutwa kupigana na kaka yangu, yani kanibutua sana....halafu siku hizi anajifanya ananipendaaaa.....
Makovu miguuni?!?!?!!
Sijui kwa nini huwa sina imani nikiona manzee anayo hii makitu kwa miguu...
Unahisi nini?