Mafikizolo
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 3,487
- 1,626
Mzima lakini?
Mafikizolo nipo mkuu.
Mafikizolo nipo mkuu.
Nahitaji kuona kovu lako nikwambie kitu
Nafikiri dada mpenzi miss chagga ulimkovu wako uliotokana na kibao cha mbuzi unahusika hapa....
wewe una kovu
Mmmmmh basi mm nkajua labda mtatutajia dawa yake mweeee maana nlivyoona hii post nmeifunguaje haraka maana nami nna kovu duuuu haya bana kumbe n kitu kingine kabisaaaaaa
Mmmmmh basi mm nkajua labda mtatutajia dawa yake mweeee maana nlivyoona hii post nmeifunguaje haraka maana nami nna kovu duuuu haya bana kumbe n kitu kingine kabisaaaaaa
Nafikiri dada mpenzi miss chagga ulimkovu wako uliotokana na kibao cha mbuzi unahusika hapa....
kwi.kwi.kwi. sio lile bwana. nimesema kovu sio kidonda.
Inaelekea unalo wewe..
ninalo kwenye kalio...
wewe una kovu..?Oowkeeey..........basi sawa........
wewe una kovu..?