Haibiwi mtu hapa.
College chicks having college fun.
And I thought "Girls Gone Wild" just went bankrupt.
Duu wakubwa wanafaidi,huyo organiser atakua mvumilivu kiasi gani?
Wapi tene watu wanaosema kama wewe ndo wanaoibiwaga bila kubakishwa
Kuna amani gani hapo wakati wanapasua suruali za watu huku.
Kuna amani gani hapo wakati wanapasua suruali za watu huku.
Mkuu unafikiri suruali zikipasuka huku nani wakuzuia hizo roketi zitakapofyatuka.Hilo ni lako sasa, ila wao hawanashida na mtu.
Wataweza Kushindaa na hawawa Mswati?
![]()
Jamani Mswati kusema ukweli anafaidi saaaaanaaaa tuache utani, ndio maana nikihubiri kuwa Tuache Dhambi ili tukifika tupewe kama hawa mamia kwa mamia lazima watu wakubali tu......huyu mmoja kama Paloma vile
Mkuu umesoma msahafu gani huo? Niambie unauzwa wapi..Jamani Mswati kusema ukweli anafaidi saaaaanaaaa tuache utani, ndio maana nikihubiri kuwa Tuache Dhambi ili tukifika tupewe kama hawa mamia kwa mamia lazima watu wakubali tu......huyu mmoja kama Paloma vile
Mkuu umesoma msahafu gani huo? Niambie unauzwa wapi..
khaaaaa na tanzania iwepo ii issue aisee wa2 watamwagika huko na kusahau familia nyumbani!
wapi hii mkuu,haya yalikuwa ya kuhudhuria bila kukosa!!!
Chuchuchuuu
hii makitu nouma Mswati yupo juuu sanaaa....
Anakamatia vitu vibichiiiiiiiiii kila mwaka.....hii makitu nouma Mswati yupo juuu sanaaa....
wanayaunga mkono na kuyasindikiza kwa bendi!!Intelejensia ya Jeshi la Mwema inasemaje kuhusu maandamano ya aina hii??!